Nimepitia websit yao hawa
French foreign legion,nikakuta matangazo kwamba wao wana recruit watu
kutoka mataifa mbalimbali kwa ajili ya kua askari katika jeshi hilo la
kifaransa (LEGIONIERS) katka ofisi zao za ufaransa.
Kitu kizuri nilichogundua ni kwamba wanaajiri watu muda wowote bila
kujali sana elimu yako,kwa yoyote mwenye taarifa zaidi juu yao atujue
tafadhali.
Naomba kuwasilisha.