Kaz kwel kwel mbona mwanaume huyu haeleweki?


ha,ha,ha,ha,haaaa... Gagaaaa! Sawa umesema tabia ya wa2 fulan hata akitaka kufanya uhun mbele yako anafanya 2u cjakuelewa inamaana jamaa anauhun wa namna hyo au inakuwaje mana cjakupata sawa sawa. Kumuulizia m2 au shemeji yake ni uhun kumuulizia kila anapopga simu au ?
 
Ntaona poa tu maana mimi nilipouliziwa hakukuwa na tatizo!
 
Hujui nini?Kwani kuna swali hapo?Nwy acheni kuishi kwa wasiwasi...kama huyo mwanaume humwamini ndugu yako nae humwamini?

ila huaminifu usivuke mipaka kias kwamba ukawaacha wa2 midomo waz au kusababisha hata wewe mwenyewe kuwa na wasiwasi
 
mmmhhhh
ukweli ni kwamba I trust you
and i trust my sister too
siwezi amini waweza fanya jambo lolote
litakalovunja familia yangu ambayo labda itakuwa yako baada..
kumbuka trust is like a virginity you can only brake it once...

Well said AD.
 
dah.Lizzy, hupitwi??


Happe Easter (belated)
 
Huyo mshikaji hamtaki shemeji yake ila hamwamini mpz wake thurs why anaulizia ili akiambiwa yupo na mdogo wake atakuwa na uhakika kuwa mpz wake hachakachuliwi.
 

that iz a word
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…