We Murefu kila siku na hadithi za watu??Nwy sioni ubaya wowote maana hata mimi nilikua nauliziwa na shem wangu ila sio kwasababu ananitamani!Ni strategy ya kumpenda na kua karibu na kipenzi cha mwandani wako..that is kama dada anampenda mdogo wake sana!Inamtengenezea mwanaume mazingirga ambayo hata siku wakigombana anajua atamtumia nani kumbembelezea mwenzake na kumwombea msamaha!Nnachojua ni kwamba wadada hua wanapenda na kufurahia hali hiyo ila kama huyo ana wasiwasi basi hajiamini!Kazi anayo.