MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
- Thread starter
- #21
Ukikaa bar unasikiliza meza ya jirani hata na kwenye daladala pia unafuatilia hayo? murefuuuuu hiyo ni tabia ya watu wasiojiamini anataka kuongea na mtu jirani na mpenzi wake ili apate uhakika fulani, ila ni utumwa tu sababu mtu akitaka kufanya uhuni hata mbele yako anafanya tu
ha,ha,ha,ha,haaaa... Gagaaaa! Sawa umesema tabia ya wa2 fulan hata akitaka kufanya uhun mbele yako anafanya 2u cjakuelewa inamaana jamaa anauhun wa namna hyo au inakuwaje mana cjakupata sawa sawa. Kumuulizia m2 au shemeji yake ni uhun kumuulizia kila anapopga simu au ?