Kauli za wanasimba Baada ya kichapo jana

Kauli za wanasimba Baada ya kichapo jana

Watanzania hawajui mpira kwa kweli. Ushabiki gani huu unaovuka mipaka hata ulaya huwezi Kuta hii ushamba wa YANGA na Simba.
hujui tu huko ulaya kuna timu ilifungwa waliofungwa wakawavizia mashabiki wa upande mwengine wakaanza kuwapiga! mpk polisi waliingilia kati!
 
Ngungus Boy anawazumu tuu
 

Attachments

  • FB_IMG_17232371236673470.jpg
    FB_IMG_17232371236673470.jpg
    467.1 KB · Views: 7
KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI :

1. Timu tunayo ni suala la muda tu

2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio

3. Mbona hamjatufunga tano

4. Azam anachukua hili kombe

5. Refa ametunyima penati ya wazi

Ongezea Maneno mengine unayoyasikia huko

FOLLOW Lakezone Sports

#NgaoYaJamii2024 #𝗗𝘂𝗸𝗲𝘂𝗽𝗱𝗮𝘁𝗲𝘀View attachment 3065057
Hakuna sehemu mshabiki wa simba kasema azam anachukua kombe
 
KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI :

1. Timu tunayo ni suala la muda tu

2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio

3. Mbona hamjatufunga tano

4. Azam anachukua hili kombe

5. Refa ametunyima penati ya wazi

Ongezea Maneno mengine unayoyasikia huko

FOLLOW Lakezone Sports

#NgaoYaJamii2024 #𝗗𝘂𝗸𝗲𝘂𝗽𝗱𝗮𝘁𝗲𝘀View attachment 3065057
Tunaona mwanga
 
Haina nouma
KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI :

1. Timu tunayo ni suala la muda tu

2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio

3. Mbona hamjatufunga tano

4. Azam anachukua hili kombe

5. Refa ametunyima penati ya wazi

Ongezea Maneno mengine unayoyasikia huko

FOLLOW Lakezone Sports

#NgaoYaJamii2024 #𝗗𝘂𝗸𝗲𝘂𝗽𝗱𝗮𝘁𝗲𝘀
 
Back
Top Bottom