Kauli za mkuu wa nchi zinachangia na kuimaliza kabisa serikali ya CCM

Kauli za mkuu wa nchi zinachangia na kuimaliza kabisa serikali ya CCM

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
2,106
Reaction score
3,027
Ukiangalia kwa jicho la tatu utajua namaanisha nini? Kila anaposimama na kusema anajikuta anaharibu hali ya hewa ya siasa za CCM. Kwa sasa CCM imekufa kimebaki kikundi cha "machawa" kwa uchache.

Kuleni kulinga na urefu wa kamba zenu," kifo ni kifo tu, "chura kiziwi," watumishi wengine ni watumishi wa shetani" kauli hizi huwa zinachochea chuki kwa wananchi.

Lakini pia kuna nguvu kubwa ya presha inamtafuna ya yule shehe shabani alitabili juu ya rais mwana mke kutodumu madarakani na nchi itaongozwa na wapinzani.

NB: Mlio karb na Rais Samia mwambieni kwamba. Sio lazima awe Raisi kwa miaka kumi, ikimpendeza achie inatosha kwa sbb mambo yanazidi kuharibika zaidi.

Inawezekana Kati ya haya:
1. Mungu anataka upishe wengine kutoka na unabii mbali mbali au
2. Kuna kundi lipo nyuma yako linakuchezea mchezo mchafu au
3. Neema ya kimuungu imepungua ndani yako tofauti na ulivyokuwa makamu wa rais ulikuwa "unajali, utu," ulikuwa na" huruma".

Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu utajua namaanisha nini? Kila anaposimama na kusema anajikuta anaharibu hali ya hewa ya siasa za CCM. Kwa sasa CCM imekufa kimebaki kikundi cha "machawa" kwa uchache.

Kuleni kulinga na urefu wa kamba zenu," kifo ni kifo tu, "chura kiziwi," watumishi wengine ni watumishi wa shetani" kauli hizi huwa zinachochea chuki kwa wananchi.

Lakini pia kuna nguvu kubwa ya presha inamtafuna ya yule shehe shabani alitabili juu ya rais mwana mke kutodumu madarakani na nchi itaongozwa na wapinzani.

NB: Mlio karb na Rais Samia mwambieni kwamba. Sio lazima awe Raisi kwa miaka kumi, ikimpendeza achie inatosha kwa sbb mambo yanazidi kuharibika zaidi.

Inawezekana Kati ya haya:
1. Mungu anataka upishe wengine kutoka na unabii mbali mbali au
2. Kuna kundi lipo nyuma yako linakuchezea mchezo mchafu au
3. Neema ya kimuungu imepungua ndani yako tofauti na ulivyokuwa makamu wa rais ulikuwa "unajali, utu," ulikuwa na" huruma".

Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
Muacheni Mama atulie
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu utajua namaanisha nini? Kila anaposimama na kusema anajikuta anaharibu hali ya hewa ya siasa za CCM. Kwa sasa CCM imekufa kimebaki kikundi cha "machawa" kwa uchache.

Kuleni kulinga na urefu wa kamba zenu," kifo ni kifo tu, "chura kiziwi," watumishi wengine ni watumishi wa shetani" kauli hizi huwa zinachochea chuki kwa wananchi.

Lakini pia kuna nguvu kubwa ya presha inamtafuna ya yule shehe shabani alitabili juu ya rais mwana mke kutodumu madarakani na nchi itaongozwa na wapinzani.

NB: Mlio karb na Rais Samia mwambieni kwamba. Sio lazima awe Raisi kwa miaka kumi, ikimpendeza achie inatosha kwa sbb mambo yanazidi kuharibika zaidi.

Inawezekana Kati ya haya:
1. Mungu anataka upishe wengine kutoka na unabii mbali mbali au
2. Kuna kundi lipo nyuma yako linakuchezea mchezo mchafu au
3. Neema ya kimuungu imepungua ndani yako tofauti na ulivyokuwa makamu wa rais ulikuwa "unajali, utu," ulikuwa na" huruma".

Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
MNAJIDANGANYA MTASUBIRI SANAAA
 
Kabisa mkuu, yeye akipata neema ya kuongoza miaka 4 tu, ila tamaaa na machawa wanamponza
 
Samia hata akiamuru Gwajima, Lisu, Mwabukusi, Heche, maaskofu wote na wachungaji wote wauawe bado ataendelea kuwa rais tu. Hatofanywa kitu. Ndivyo katiba inavyosema.
 
Samia hata akiamuru Gwajima, Lisu, Mwabukusi, Heche, maaskofu wote na wachungaji wote wauawe bado ataendelea kuwa rais tu. Hatofanywa kitu. Ndivyo katiba inavyosema.
Sawa mkuu, kila jambo linamwisho wake
 
Samia hata akiamuru Gwajima, Lisu, Mwabukusi, Heche, maaskofu wote na wachungaji wote wauawe bado ataendelea kuwa rais tu. Hatofanywa kitu. Ndivyo katiba inavyosema.
HATUITAKI HII KATIBA.YAANI MTOTO WA 2000 AONGONZWE NA LIKATIBA LA MWAKA 77.NO REFORM NO ELECTION
 
Back
Top Bottom