Kauli ya Zitto Kabwe na viongozi wa UVCCM

sangujoseph

Senior Member
Nov 30, 2015
164
183
By Sangu J

Kuanzia Februari 2 nakutana na mawazo mbalimbali kutoka kwa watu wangu wa karibu wakinihusia umekuwa ukitoa maoni mbalimbali kwenye mijadala ya Kitaifa lakini mbona hatuoni ukitoa maoni yako Juu ya kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya UVCCM dhidi ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe.

Kwanza nikiri ni kweli nimeziona kauli zilizotolewa na vijana wenzangu akiwemo Waziri Mkuu wangu wa zamani wakati nasoma Chuo cha Tumaini Iringa ndugu Kenani Kihongosi kwamba watu wanaosaliti nchi sharti 'wauawe', kwa tafsiri ya wengi ni kwamba wameelewa Ndugu Zitto anapaswa kuchukuliwa hatua kwa alichokifanya.

Kwanza mimi siamini kama Ile kauli ni msimamo wa Jumuiya wa umoja Vijana Kwa sababu umeundwa kwa mujibu wa Sheria na taratibu za nchi yetu ambazo zinaitaka kulinda misingi ya Amani na afya ya nchi na kuheshimu Haki ya mtu mwingine kuishi, Kwa hiyo naungana na Mwenyekiti wangu Ndugu Kheri James ambaye kupitia Mwananchi (Mwenyekiti UVCCM afafanua kauli yake, ampinga aliyetaka) ameeleza vizuri kuwa alichosema Ndugu Kihongosi si msimamo wa Jumuiya hiyo.

Mimi binafsi Kwa mapenzi na nchi yangu naheshimu Haki ya kuishi ya kila kiumbe ambacho kipo Tanzania as long as ni kipo kwenye ardhi ya Tanzania basi kinapaswa kisivunjiwe Haki yake ya kuishi.

Lakini mjadala kauli za Viongozi wa Jumuiya (UVCCM) nadhani haujaja from no where umekuja baada ya Zitto kuandika Barua kwenda WB akishinikiza Tanzania kutopatiwa mkopo wa zaidi ya Dola Mil. 500 kutokana na sababu alizoieleza yeye kwamba mkopo huo hautawafikia walengwa.

Ukisikiliza hoja za Zitto kwenye mahojiano yake na Zuhura Yunus wa BBC inaonesha dhahiri kuwa hofu ya Zitto ni huenda mkopo huo ungetumika kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.

Sababu nyingine anayoieleza Zitto ni kuwa tusipewe mkopo kwa sababu pia Sera yetu ya elimu ni Baguzi Kwa kutoruhusu watoto wanaopata ujauzito kuendelea kimasomo na wanafunzi ambao hawana ujauzito au kujihusisha kimapenzi kabisa lakini Serikali ilishaeleza wazi kuwa lengo la kumtoa mwanafunzi aliyepata mimba kwenye mfumo wa kawaida na kumpeleka kwenye mifumo mingine kwanza ni kumuondolea kuonekana si mtu wa kawaida kwenye Jumuiya ambayo haikumzoea kwenye hali ya mimba na huenda ingemfanya atengwe zaidi.

Japo wanasema mimba si ulemavu, kwanini kuna madarasa ya maalum ya watu wenye ulemavu na, je wanabaguliwa? HAPANA. Ila kutokana hali yao si vyema sana kuwaunganisha na wanafunzi wengine kwa sababu ikawafanya kuwa wanyonge zaidi.

Kiukweli mimi binafsi siungi mkono hatua ya Zitto kushinikiza Tanzania isipatiwe mkopo ambapo asilimia 70 ya sababu zake hazihusiani na masuala ya elimu bali ni za kisiasa.

Comrade Sangu J
0712861292

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto missed a very important point. Ameshindwa kujua mkopo huo ungetumika na kuwasaidia wengi sana kuliko hata hao anaowatetea. Sote tu mashuhuda wa Serikali yetu inavyojitahidi kukomesha mimba kwa wanàfunzi lakini imekuja kugundulika kuwa jitihada hizi zinabezwa na wanafunzi wenyewe.

Elimu bila malipo ni msaada mkubwa kwa watoto wa kitanzania hasa wale maskini lakini pia ni gharama hasa pale tunapoigharamia kwa kuñdi ambalo halioni umuhimu wake ( wanafunzi wenye ujauzito)

Zitto azunguke anapozunguka lakini atambue dhambi ya usaliti ni mbaya sana. Nisingetarajia mtu kama yeye kuwa sehemu ya tatizo badala ya "solution". Zitto ni sehemu ya tatizo kwa sababu kaangalia kundi la wachache lisilo na Nia ya dhati ya kusoma kwa bidii na kusaliti kundi kubwa lisilo na hatia.
 
By Sangu J

Kuanzia Februari 2 nakutana na mawazo mbalimbali kutoka kwa watu wangu wa karibu wakinihusia umekuwa ukitoa maoni mbalimbali kwenye mijadala ya Kitaifa lakini mbona hatuoni ukitoa maoni yako Juu ya kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya UVCCM dhidi ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe.

Kwanza nikiri ni kweli nimeziona kauli zilizotolewa na vijana wenzangu akiwemo Waziri Mkuu wangu wa zamani wakati nasoma Chuo cha Tumaini Iringa ndugu Kenani Kihongosi kwamba watu wanaosaliti nchi sharti 'wauawe', kwa tafsiri ya wengi ni kwamba wameelewa Ndugu Zitto anapaswa kuchukuliwa hatua kwa alichokifanya.

Kwanza mimi siamini kama Ile kauli ni msimamo wa Jumuiya wa umoja Vijana Kwa sababu umeundwa kwa mujibu wa Sheria na taratibu za nchi yetu ambazo zinaitaka kulinda misingi ya Amani na afya ya nchi na kuheshimu Haki ya mtu mwingine kuishi, Kwa hiyo naungana na Mwenyekiti wangu Ndugu Kheri James ambaye kupitia Mwananchi (Mwenyekiti UVCCM afafanua kauli yake, ampinga aliyetaka) ameeleza vizuri kuwa alichosema Ndugu Kihongosi si msimamo wa Jumuiya hiyo.

Mimi binafsi Kwa mapenzi na nchi yangu naheshimu Haki ya kuishi ya kila kiumbe ambacho kipo Tanzania as long as ni kipo kwenye ardhi ya Tanzania basi kinapaswa kisivunjiwe Haki yake ya kuishi.

Lakini mjadala kauli za Viongozi wa Jumuiya (UVCCM) nadhani haujaja from no where umekuja baada ya Zitto kuandika Barua kwenda WB akishinikiza Tanzania kutopatiwa mkopo wa zaidi ya Dola Mil. 500 kutokana na sababu alizoieleza yeye kwamba mkopo huo hautawafikia walengwa.

Ukisikiliza hoja za Zitto kwenye mahojiano yake na Zuhura Yunus wa BBC inaonesha dhahiri kuwa hofu ya Zitto ni huenda mkopo huo ungetumika kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.

Sababu nyingine anayoieleza Zitto ni kuwa tusipewe mkopo kwa sababu pia Sera yetu ya elimu ni Baguzi Kwa kutoruhusu watoto wanaopata ujauzito kuendelea kimasomo na wanafunzi ambao hawana ujauzito au kujihusisha kimapenzi kabisa lakini Serikali ilishaeleza wazi kuwa lengo la kumtoa mwanafunzi aliyepata mimba kwenye mfumo wa kawaida na kumpeleka kwenye mifumo mingine kwanza ni kumuondolea kuonekana si mtu wa kawaida kwenye Jumuiya ambayo haikumzoea kwenye hali ya mimba na huenda ingemfanya atengwe zaidi.

Japo wanasema mimba si ulemavu, kwanini kuna madarasa ya maalum ya watu wenye ulemavu na, je wanabaguliwa? HAPANA. Ila kutokana hali yao si vyema sana kuwaunganisha na wanafunzi wengine kwa sababu ikawafanya kuwa wanyonge zaidi.

Kiukweli mimi binafsi siungi mkono hatua ya Zitto kushinikiza Tanzania isipatiwe mkopo ambapo asilimia 70 ya sababu zake hazihusiani na masuala ya elimu bali ni za kisiasa.

Comrade Sangu J
0712861292

Sent using Jamii Forums mobile app
wanachama wa CCM, CHADEMA, ACT, pamoja na wanasiasa wote na vi
By Sangu J

Kuanzia Februari 2 nakutana na mawazo mbalimbali kutoka kwa watu wangu wa karibu wakinihusia umekuwa ukitoa maoni mbalimbali kwenye mijadala ya Kitaifa lakini mbona hatuoni ukitoa maoni yako Juu ya kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya UVCCM dhidi ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe.

Kwanza nikiri ni kweli nimeziona kauli zilizotolewa na vijana wenzangu akiwemo Waziri Mkuu wangu wa zamani wakati nasoma Chuo cha Tumaini Iringa ndugu Kenani Kihongosi kwamba watu wanaosaliti nchi sharti 'wauawe', kwa tafsiri ya wengi ni kwamba wameelewa Ndugu Zitto anapaswa kuchukuliwa hatua kwa alichokifanya.

Kwanza mimi siamini kama Ile kauli ni msimamo wa Jumuiya wa umoja Vijana Kwa sababu umeundwa kwa mujibu wa Sheria na taratibu za nchi yetu ambazo zinaitaka kulinda misingi ya Amani na afya ya nchi na kuheshimu Haki ya mtu mwingine kuishi, Kwa hiyo naungana na Mwenyekiti wangu Ndugu Kheri James ambaye kupitia Mwananchi (Mwenyekiti UVCCM afafanua kauli yake, ampinga aliyetaka) ameeleza vizuri kuwa alichosema Ndugu Kihongosi si msimamo wa Jumuiya hiyo.

Mimi binafsi Kwa mapenzi na nchi yangu naheshimu Haki ya kuishi ya kila kiumbe ambacho kipo Tanzania as long as ni kipo kwenye ardhi ya Tanzania basi kinapaswa kisivunjiwe Haki yake ya kuishi.

Lakini mjadala kauli za Viongozi wa Jumuiya (UVCCM) nadhani haujaja from no where umekuja baada ya Zitto kuandika Barua kwenda WB akishinikiza Tanzania kutopatiwa mkopo wa zaidi ya Dola Mil. 500 kutokana na sababu alizoieleza yeye kwamba mkopo huo hautawafikia walengwa.

Ukisikiliza hoja za Zitto kwenye mahojiano yake na Zuhura Yunus wa BBC inaonesha dhahiri kuwa hofu ya Zitto ni huenda mkopo huo ungetumika kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.

Sababu nyingine anayoieleza Zitto ni kuwa tusipewe mkopo kwa sababu pia Sera yetu ya elimu ni Baguzi Kwa kutoruhusu watoto wanaopata ujauzito kuendelea kimasomo na wanafunzi ambao hawana ujauzito au kujihusisha kimapenzi kabisa lakini Serikali ilishaeleza wazi kuwa lengo la kumtoa mwanafunzi aliyepata mimba kwenye mfumo wa kawaida na kumpeleka kwenye mifumo mingine kwanza ni kumuondolea kuonekana si mtu wa kawaida kwenye Jumuiya ambayo haikumzoea kwenye hali ya mimba na huenda ingemfanya atengwe zaidi.

Japo wanasema mimba si ulemavu, kwanini kuna madarasa ya maalum ya watu wenye ulemavu na, je wanabaguliwa? HAPANA. Ila kutokana hali yao si vyema sana kuwaunganisha na wanafunzi wengine kwa sababu ikawafanya kuwa wanyonge zaidi.

Kiukweli mimi binafsi siungi mkono hatua ya Zitto kushinikiza Tanzania isipatiwe mkopo ambapo asilimia 70 ya sababu zake hazihusiani na masuala ya elimu bali ni za kisiasa.

Comrade Sangu J
0712861292

Sent using Jamii Forums mobile app
wanaCCM wote, CHADEMA, ACT, wanasiasa wote, viongozi wa dini zote, chungeni kauli zetu. soma kitabu hiki uone ndani namna gani kauli zilivyoponza wengi wakajikuta wanashitakiwa na mahakama za kimataifa. download it, na msome chote. watumieni na wenzetu wanaoweza kujichanganya kwenye kampeni za uchaguzi mwaka huu, najua kuna vituko vingi vitakuwepo na wanaweza kutokea watu wakafanya jinai. beware!
 

Attachments

  • MAHAKAMAYA ICC THE HAGUE.pdf
    1,019.2 KB · Views: 2
Mifano yako ni mfu!
1.Mimi nimesoma shule mchanganyiko,inaitwa shule ya mazoezi na wasioona!So tunachangamana na hawajatengwa!

2.Kwa hoja yako basi hata watoto wenye VVU ipo siku mtawabagua wawe na shule zao ili wasionekane wa ajabu kwa wenzao!

3.Unaonekana kuhalalisha kilichofanywa kwa kiasi fulani japo umekanausha pia!Kuanza kutoa maelezo ya sababu za Zitto kuambiwa auwawe ni yale aliyoyaongea na ukayaeleza ni wazi unaonesha kukubaliana kiasi fulani na hao wanaotaka Zitto auwawe!
Kama lengo ni kutoa msimamo wako,basi sijaona umuhimu wa wewe kueleza hayo aliyoyasema Zitto,badala yake ungesema si sahihi wananchi kutoa kauli za kuchochea mtu fulani auwawe regardless the reason kwani tunayo mahakama yenye jukumu la kutoa hukumu!
 
Unaweza kutupatia orodha ya shule hizo maalumu zilizoanzishwa na serikali ambazo wasichana wanaopata mimba mashuleni wanasoma baada ya kuondolewa kwenye mfumo rasmi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema mtoto wa miaka 11 akishajifungua tu,anashift anakuwa mtu mzima sawa na mama mwenye miaka 25!Ndio maana anaenda kuwekwa shule ya watu wazima!
 
Zitto missed a very important point. Ameshindwa kujua mkopo huo ungetumika na kuwasaidia wengi sana kuliko hata hao anaowatetea. Sote tu mashuhuda wa Serikali yetu inavyojitahidi kukomesha mimba kwa wanàfunzi lakini imekuja kugundulika kuwa jitihada hizi zinabezwa na wanafunzi wenyewe.

Elimu bila malipo ni msaada mkubwa kwa watoto wa kitanzania hasa wale maskini lakini pia ni gharama hasa pale tunapoigharamia kwa kuñdi ambalo halioni umuhimu wake ( wanafunzi wenye ujauzito)

Zitto azunguke anapozunguka lakini atambue dhambi ya usaliti ni mbaya sana. Nisingetarajia mtu kama yeye kuwa sehemu ya tatizo badala ya "solution". Zitto ni sehemu ya tatizo kwa sababu kaangalia kundi la wachache lisilo na Nia ya dhati ya kusoma kwa bidii na kusaliti kundi kubwa lisilo na hatia.

Naomba niliweke wazi kabisa kuwa mimi si mwana siasa

Kwa hili la zito nadhani hoja zingejibiwa kwa hoja...

1. Zito kaandika barua kwa kificho WB nanyi mmeipata kwa kificho tumeni barua yenye maelezo dhidi ya tuhuma za Zito WB ili ukweli ufahamike kuwa zito ni msaliti, mzushi na mwongo

2. Thibitishieni wanzania na ulimengu kuwa WB wamesitisha mkobo baada ya kupokea na kuiamini barua ya zito

3.Kama alivyoagiza spika zito afunguliwe mashtaka dhidi ya barua yake aliyiituma WB ili apate haki yake ya msingi ya kimahakama ya kujitetea

4
 
Zitto missed a very important point. Ameshindwa kujua mkopo huo ungetumika na kuwasaidia wengi sana kuliko hata hao anaowatetea. Sote tu mashuhuda wa Serikali yetu inavyojitahidi kukomesha mimba kwa wanàfunzi lakini imekuja kugundulika kuwa jitihada hizi zinabezwa na wanafunzi wenyewe.

Elimu bila malipo ni msaada mkubwa kwa watoto wa kitanzania hasa wale maskini lakini pia ni gharama hasa pale tunapoigharamia kwa kuñdi ambalo halioni umuhimu wake ( wanafunzi wenye ujauzito)

Zitto azunguke anapozunguka lakini atambue dhambi ya usaliti ni mbaya sana. Nisingetarajia mtu kama yeye kuwa sehemu ya tatizo badala ya "solution". Zitto ni sehemu ya tatizo kwa sababu kaangalia kundi la wachache lisilo na Nia ya dhati ya kusoma kwa bidii na kusaliti kundi kubwa lisilo na hatia.
Sheria za nchi ni kuwa binti chini ya miaka 18 akiingiliwa kimaumbile basi anakuwa kabakwa hata kama amekubali,hii inatafsiri kiwa huyu ni mtoto mdogo na ubongo wake haujakomaa!
Sasa kwa mtoto aliyebakwa,tunaanzaje kusema hajaona umuhimu wa shule ndio maana kashika ujauzito?
JPM anatulisha matango pori sana!Huu ni msimamo wake binafsi,wenzake wote waliotunga ilani ya CCM 2015 walisema watoto watakaopata ujauzito watapewa nafasi ya kurudi shule kuendelea na masomo watakapojifungua!Ilani iko hivyo mpaka leo,ni maamuzi tu ya JPM kuamua vinginevyo!

Halafu kodi zinazogharamia elimu ni za wananchi wote,hata wale watoto wao wamepata ujauzito mashuleni,ni walipa kodi pia!
 
Sheria za nchi ni kuwa binti chini ya miaka 18 akiingiliwa kimaumbile basi anakuwa kabakwa hata kama amekubali,hii inatafsiri kiwa huyu ni mtoto mdogo na ubongo wake haujakomaa!
Sasa kwa mtoto aliyebakwa,tunaanzaje kusema hajaona umuhimu wa shule ndio maana kashika ujauzito?
JPM anatulisha matango pori sana!Huu ni msimamo wake binafsi,wenzake wote waliotunga ilani ya CCM 2015 walisema watoto watakaopata ujauzito watapewa nafasi ya kurudi shule kuendelea na masomo watakapojifungua!Ilani iko hivyo mpaka leo,ni maamuzi tu ya JPM kuamua vinginevyo!

Halafu kodi zinazogharamia elimu ni za wananchi wote,hata wale watoto wao wamepata ujauzito mashuleni,ni walipa kodi pia!
Subiri nikupe kisa Cha kweli kuhusu unaowatetea....

Siku moja nikiwa nasafiri kutoka mkoa A kwenda B ,ndani ya basi siti ya pembeni alikaa Mwalimu wa sekondari. Baada ya kusalimia akaanza kusimulia yaliyomkuta, alisema" aiseee! Hawa wanafunzi wa kike hovyo kabisa, katika shule ninayofundisha kina mwanafunzi amekutwa na ujauzito. Akatulia kidogo akaendelea, tukambana sana mwanafunzi huyo aseme aliyempa huo ujauzito na akamtaja dereva wa bodaboda. Tulipokuwa katika kuhahakisha dereva huyo anatiwa nguvu huyo binti akatugeuka.

Nikauliza ulikuwaje? Akaendelea kusema wazazi wa huyo binti na binti yao wakazungumza na familia ya huyo bodaboda wakakubaliana kiasi Cha kulipwa binti akapangwa Cha kuzungumza na akapangika kweli bila si kujua kinachoendelea. Siku ikawadia ya binti kupata haki yake, sisi walimu pamoja na Askari tulienda kwa binti ili atuambie ni Nani muhusika? Binti akagoma kabisa kumtaja muhusika wa tukio Hilo na sisi tukaonekana tulitengeneza uongo" mwisho wa kisa chetu

Katika mazingira haya ,huyu bado ni muhanga? Je, bado anahitaji kutetewa?
 
Anyway maneno yasiwe mengi. Kwa kuwa huo mnaotaka kuchukua WB ni mkopo ambao utalipwa na watanzania wote wakiwemo hao wanaopata mimba.

Kwahiyo kama mnataka kuwatenga hao wanaojifungua, toeni utaratibu ni kwa namna gani hawatahusika kabisa kulipa hilo DENI.
 
Anyway maneno yasiwe mengi. Kwa kuwa huo mnaotaka kuchukua WB ni mkopo ambao utalipwa na watanzania wote wakiwemo hao wanaopata mimba.

Kwahiyo kama mnataka kuwatenga hao wanaojifungua, toeni utaratibu ni kwa namna gani hawatahusika kabisa kulipa hilo DENI.
Kabla ya kutoa utaratibu utolewe utaratibu wa wao kuukana uraia wa Tanzania ili wasitambulike kama watanzania lakini kwa kipindi chote wanachoitwa watanzania ni jukumu lao kulipa deni hilo
 
Kabla ya kutoa utaratibu huo unaosema,Kwanza utolewe utaratibu wa wao kuukana uraia wa Tanzania ili wasitambulike kama watanzania lakini kwa kipindi chote wanachoitwa watanzania ni jukumu lao kulipa deni hilo
 
Subiri nikupe kisa Cha kweli kuhusu unaowatetea....

Siku moja nikiwa nasafiri kutoka mkoa A kwenda B ,ndani ya basi siti ya pembeni alikaa Mwalimu wa sekondari. Baada ya kusalimia akaanza kusimulia yaliyomkuta, alisema" aiseee! Hawa wanafunzi wa kike hovyo kabisa, katika shule ninayofundisha kina mwanafunzi amekutwa na ujauzito. Akatulia kidogo akaendelea, tukambana sana mwanafunzi huyo aseme aliyempa huo ujauzito na akamtaja dereva wa bodaboda. Tulipokuwa katika kuhahakisha dereva huyo anatiwa nguvu huyo binti akatugeuka.

Nikauliza ulikuwaje? Akaendelea kusema wazazi wa huyo binti na binti yao wakazungumza na familia ya huyo bodaboda wakakubaliana kiasi Cha kulipwa binti akapangwa Cha kuzungumza na akapangika kweli bila si kujua kinachoendelea. Siku ikawadia ya binti kupata haki yake, sisi walimu pamoja na Askari tulienda kwa binti ili atuambie ni Nani muhusika? Binti akagoma kabisa kumtaja muhusika wa tukio Hilo na sisi tukaonekana tulitengeneza uongo" mwisho wa kisa chetu

Katika mazingira haya ,huyu bado ni muhanga? Je, bado anahitaji kutetewa?
Ni muhanga kwasababu amelaghaiwa na wazazi wake,kutokana na ubongo wake hakujua ni jambo gani sahihi kulifanya!Akaamua kukubali alichoambiwa na wazazi wake maana ndio waangalizi wake!Mtoto hapo hana namna,hao watu wazima wamechukua advantage ya kutokomaa kwake kiakili wakamrubuni!Ndio maana tunaamini katika mazingira yeyote,mtoto chini ya miaka 18 anahesabiwa kama hajakua!
So alibakwa na bado akakosa justice kwa alichofanyiwa kwa kurubuniwa!
 
1 - Nenda Yombo Vituka, au Kariakoo karibia na Shule ya Uhuru usawa WA Benjamin Sekondari, Nenda Tandika Sekondari kuna shule ya watu maalum.

2 - VVU ni ugonjwa wa kawaida na unakua ni Siri Kati ya Mgonjwa na Daktari, so akiambiwa Mwalimu hawezi ufanyia matangqzo Kwa wanafunzi Darasani, lakini Ujauzito ni kitu kisichofichika kila mtu anakuona.

3 - Kasome Para ya pili na ya tatu nineeleza vizuri siungi mkono kiumbe chochote kilichopo TZ kutishiwa Haki yake ya kuishi Kwa sababu nchi yetu inaendeshwa Kwa mujibu Sheria unachokisema wewe ni kupotosha, wakati Mimi nineeleza wazi kuwa siungi mkono.

4 - Kuhusu kuchagua kipi cha kueleza huwezi ukazungumzia Kauli za Viongozi wa Umoja bila kujua sababu ni nini.

5 - Ingekua watoto wamezuliwa kupata elimu ambayo ni haki Yao hiyo ni tatizo lkn Haki Yao ya Msingi bado wanaipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom