tubadilike-sasa
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 681
- 167
Nape Nauye leo katika Uhuru FM ametema sumu kali juu ya kauli ya Mh. Nassari juu ya Arumeru kuwa nchi. Ameihusisha jambo hilo na sera ya majimbo inayoinadi CDM.
Amesema CDM sera ya ukanda imeitafuna na mwisho kudhihirika siku ya mkutano wao uliofanyika NMC kuwa wanataka kuitenga Tanzania kwa majimbo hasa Kaskazini!!!!
Amekwenda mbali kwa kumponda Dr. Slaa kuwa ndiye anayependa sana siasa rahisi yaani cheap politics na wamemzoea lakini si Mbowe pale tu aliposema kuna wabunge 70 na mawaziri 7 ambao wapo njiani kuja CDM.
Amesema kuwa angesubiri waje na siyo kukurupuka!!!!!
Mwisho aliitaka CDM kutafuta sera maana inaonekana kufirisika. Akakionya chama cha Demokrasia na Maendeleo kuacha kukihusisha CCM au serikali na katika mauaji yaliyojiri hivi kabibuni katika chaguzi mbali mbali.
Source Uhuru FM.
Mytake:
Kwa sumu aliyotema ile Nape kuna haja ya kumjibu maana kakinukisha sana chama.
Someone is trying to create a mountain out of mole hill, and I wonder why? Yaani a dead issue kama hiyo ya Nassari ndio Nape anafanya kuwa mtaji wa kisissa, kweli wanamagamba waCCM wamekuwa muflisi. Kazi ya CCM kudandiadandia mambo tu.Kila hoja inayotolewa na CDM wao waikimbilia na kufanya yao. Angalia suala la Ufisadi, Katiba,etc. Hey Nape and the clan stop being punk heads and be creative for once!