Kauli ya Nape kwa wanaCCM

Kauli ya Nape kwa wanaCCM

yunus kb

Senior Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
118
Reaction score
53
Nitawashangaa wana CCM wale walioshindwa ktk kura za maoni za udiwani, ubunge na urais kuendelea kubaki ktk chama hiki baada ya kauli ya jana ya Nape katibu wa itikadi na uenezi, Nape alisema anashangaa vyama vya upinzani kuchukua oil chafu maana injini zao zita nock.

Ninachojua mm ni kuwa CHADEMA hawajampokea mtu aliyefukuzwa na CCM either kwa tuhuma yoyote au kukiuka maadili, wanaohama ccm wengi ni wale walochoka na mfumo mbovu na wale waloshindwa ktk kura za maoni, sasa tafsiri ya nape ni kuwa wale wote waloshindwa ni sawa na oil chafu, na hawatakiwi CCM.

Ni muda wenu kujitafakari na kuchukua hatua. Kauli ya Nape ni kauli ya chama tena kwa maelekezo ya m/kiti wake
 
amefufuka?

la kujichubua jawabu lake ni rahisi

MTUMWA YEYOTE HUTAKA AFANANE NA BWANA WAKE!!!

JINGINE, KUTOJIAMINI, KUKATAA UAFRIKA KWA UZUNGU WA KUAZIMA.
 
Nitawashangaa wana CCM wale walioshindwa ktk kura za maoni za udiwani, ubunge na urais kuendelea kubaki ktk chama hiki baada ya kauli ya jana ya Nape katibu wa itikadi na uenezi, Nape alisema anashangaa vyama vya upinzani kuchukua oil chafu maana injini zao zita nock.

Ninachojua mm ni kuwa CHADEMA hawajampokea mtu aliyefukuzwa na CCM either kwa tuhuma yoyote au kukiuka maadili, wanaohama ccm wengi ni wale walochoka na mfumo mbovu na wale waloshindwa ktk kura za maoni, sasa tafsiri ya nape ni kuwa wale wote waloshindwa ni sawa na oil chafu, na hawatakiwi CCM.

Ni muda wenu kujitafakari na kuchukua hatua. Kauli ya Nape ni kauli ya chama tena kwa maelekezo ya m/kiti wake

Unachanganya mambo,alichomaanisha ni kwamba wapinzani wanachukua magamba waliyokua wanahangaika kuyavua,hivyo ni kama wamerahisishia kazi,wakosoaji Wa lowassa ndani ya chama walikua wanaomba aondoke ndio mana hata yeye kwa kujua hilo aliropoka siku ile akitangaza ni akisema anaedhani au kutamani yeye aondoke ccm aondoke yeye kwani yeye hawezi kuhama ccm,ndio mana unaona kina nape wana furaha sana
 
Haja sema makudi karopoka gafla kwa kupaniki na kuogopa moto wa Ukawa make mwaka huu ni moto wa kuotea mbali
 
Mimi ananichosha kwa kujichubua kama ke

Heeeeee
Kuuumbe anajichubua?
Daaaaah.
Wallahi naanza kushangaa rasmi ingawa maisha ya siku hizi hupaswi kushangaa shangaa sana kwa yale yanayotea hapa chini ya jua. Ila kwa huyu lazima nimshangae
 
Nitawashangaa wana CCM wale walioshindwa ktk kura za maoni za udiwani, ubunge na urais kuendelea kubaki ktk chama hiki baada ya kauli ya jana ya Nape katibu wa itikadi na uenezi, Nape alisema anashangaa vyama vya upinzani kuchukua oil chafu maana injini zao zita nock.

Ninachojua mm ni kuwa CHADEMA hawajampokea mtu aliyefukuzwa na CCM either kwa tuhuma yoyote au kukiuka maadili, wanaohama ccm wengi ni wale walochoka na mfumo mbovu na wale waloshindwa ktk kura za maoni, sasa tafsiri ya nape ni kuwa wale wote waloshindwa ni sawa na oil chafu, na hawatakiwi CCM.

Ni muda wenu kujitafakari na kuchukua hatua. Kauli ya Nape ni kauli ya chama tena kwa maelekezo ya m/kiti wake

Watu wa mtama wanamtaka Bw. Mathew diwani wa vijibweni Nape bao la mkono limegoma wanachama 1500 wamerudisha kadi zao.picha linaanza kuungua
 
amefufuka?

la kujichubua jawabu lake ni rahisi

MTUMWA YEYOTE HUTAKA AFANANE NA BWANA WAKE!!!

JINGINE, KUTOJIAMINI, KUKATAA UAFRIKA KWA UZUNGU WA KUAZIMA.

Wapi aise mbona unampa sifa kama ni hivyo .huyu ni punga dume bwabwa .
 
Umeonaa .usikute bwabwa hili .ataa matamshi yake vijembe vijembe vya kama ke .tena shangingi

Tena Sana mbona walianza kitambo yeye na yule mkuu WA wilaya aliyempiga maji mstaafu (Warioba)!:flypig:
 
Back
Top Bottom