katika mkutano wake wa kutangaza nia huko lindi membe alitoa kauli ambayo imenishangaza pale aliposema "enzi za mwalim ilikua mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wanawajibishwa nitakapo kua raisi itakua kinyume mimi nitamwajibisha mpokea rushwa na mtoa rushwa ni tamwachia" kiukweli hasa hapo pa kumwachia mtoa rushwa ndipo pameniacha mdomo wazi.
kwasababu hata hawa wanasiasa wanao toa rushwa za chumvi na sukari kwenye uchaguzi inamaana membe ata waacha na kwenda kushika raia ambao wamepokea vitu hivyo?
ina maana watu kama Ruge malira wanao honga vigogo wataachiwa? Wadau hii kauli ina faa kumpa membe urais?
Hela za gadaf akirudisha tutampa bigup vinginevyo ngonjera zake hazina mapokeo