Kauli ya Lema

Nenda kwenye Wesite ya na fb page utaona yalotendeka!
 
Anza hivi "Umbeya Mkali kwa ........... "
 
Crap. Muulize mamako Makinda kwn anajua madhara yote pamoja na nyodo zake.
 
Mmmmh! 'Great Thinker' umeanza vzr kwa kutupeleka kuwa huenda kuna kitu kidogo kinatembea, sasa tena unaharibu ndugu yangu unapoingiza 'gender' humo, kama kweli ww ni 'GT' hivi kweli unaweza kufikiri kuwa 'fighters' wetu wamepozwa kwa kupewa 'uraia' na mama? Hebu kuwa makini unapoleta mjadala.
 

a GT would also know how to provoke.
 
Sijaona cha kujadili hapa......tope...
 
Una maana Makinda katumia nanihi kuwafunga domo?
 
Jamani eeeeeeh. Hebu tujadili mambo yenye substance
 
MP Lema, umegusa moyo wangu!
Mimi nahitaji copy ya huu ujumbe muhimu. Nitainunua hii CD kwa laki 5 Tsh. Itakuwa rahisi ukituunganisha kupitia kwa Invisible ili tuweze kulipia. Otherwise, kama utapendelea njia nyingine ni vema pia utujulishe.
Nawasilisha.
 
Jamani huyo mama alisema wapeleke ushahidi kwa maandishi hskusema faragha''Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni''
 
nadhani hilo swali umemlenga spika na sio lissu au lema... sasa wao wanahusikaje na yaliyotokea wakati wa zitto au jinsia ya spika?
 
chechemi kitu, lakini hao wakuu wana hechima zao, ila spika kiazi
 
Ukiondoa msitari wa mwisho yani ungekuwa umeleta mjadala mzito kweli! Lakini apa...
 
Idadi ya vichaa Tanzania inaongezeka kila kunapokucha.................au ndio dalili za kukata tamaa ya maisha
 
kazi TISS Ndiyo hiyo unayojaribu kuifanya hapa jamvini, ila sisi tuko mbele ya huu upupu wako, pole ndg yangu. Siku nyingine jaribu kujenga hl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…