Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,645
Chadema ni zaidi ya majangili,kufikia hatua ya kupigana kwenye vikao ni zaidi ya laana toka kwa mungu.
Kulisimamia ndiyo nini?Ila JK amechelewa sana kulisimamia hili la rushwa,kama mwenyekiti kama Rais
Hayo maneno mawili nayo yameandikwa kwa ufasaha kweli?u juzi wa kuandika unapaswa kuufaha m ukiwa darasa la I