Kauli Tata na Hatari za Waziri Muhongo

Kauli Tata na Hatari za Waziri Muhongo

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
Serikali yetu sikivu ya CCM imekataa kutusikiliza kwa kumwajibisha waziri kama Muhongo kutokana na kauli zake chafu na zenye utata. Muhongo ni janga. Hawa ni baadhi ya mawaziri ambao inabidi watoswe ili kukinusuru CCM kushinda 2015.................Hizi ni baadhi ya kauli hatari sawa na za Mwigulu

"Mimi Sikuomba uwaziri, nilibembelezwa kuwa waziri. Bw. Mimi nina kazi yangu inayotambulika kimataifa kule Pretoria. Nikitoka hapa leo narudi kwenye kazi yangu"

Kuna watu watu wanazunguka nchini wakisema kwamba bomu la ajira kwa vijana linakuja kulipuka. Hilo bomu litalipukia kwenye majumba yao na wake zao.....Hii ilitafsiriwa kama ujumbe kwa Mh. Edward Lowassa

Nashangaa Kikwete alipataje urais, uwezo wake ni mdogo sana ndio maana naombwa kila mara kuandamana naye kuokoa jahazi nchi za watu

Muda wa kuongea na wana Mtwara umepita. Serikali haiwezi tena kuongea nao. Gesi lazima itoke

Kelele za wana Mtwara ni sawa na kelele za chura.

Wapinzani ni wapuuzi, wanaongea bila ya takwimu

Watanzania hawana uwezo wa kuwekeza kwenye gesi. Watabaki kuwekeza kwenye matunda na juicetu

Kuanza mwakani, Tanzania itaanza kuuza umeme nchi za nje. Tutakuwa na umeme wa kutosha MW 7000
 
Serikali yetu sikivu ya CCM imekataa kutusikiliza kwa kumwajibisha waziri kama Muhongo kutokana na kauli zake chafu na zenye utata. Muhongo ni janga. Hawa ni baadhi ya mawaziri ambao inabidi watoswe ili kukinusuru CCM kushinda 2015.................Hizi ni baadhi ya kauli hatari sawa na za Mwigulu

Kama nikweli aliongea hayo yote nafikiri Dr Kigwangwala aanze na huyu atakuwa na matatizo ya hakili
 
Kama nikweli aliongea hayo yote nafikiri Dr Kigwangwala aanze na huyu atakuwa na matatizo ya hakili
huyo kwenye red dokta vitumbua aanze na baba yake anayemtelekeza akiomba misaada..
 
Nilimsikia jana alipokuwa anafungua umeme na Kikwete kule Mwanza ambapo badala ya kuongea mambo ya maana akaanza kumsema Mengi
 
Serikali yetu sikivu ya CCM imekataa kutusikiliza kwa kumwajibisha waziri kama Muhongo kutokana na kauli zake chafu na zenye utata. Muhongo ni janga. Hawa ni baadhi ya mawaziri ambao inabidi watoswe ili kukinusuru CCM kushinda 2015.................Hizi ni baadhi ya kauli hatari sawa na za Mwigulu

unamaanisha Mwigulu au Mhongo?
 
Ndugu waziri siyo mwanasiasa yeye ni technocrat na hiyo wizara aliyopewa ilikuwa ni kwa sababu ya uwezo wake.
the guy shoots straight lakini anadeliver the goods na hilo ndiyo muhimu siyo watu wenye kuimba nyimbo nzuri masikioni bila tijara
 
Ni jambo la kawaida kumsikia mtanzania akilalamika hata kwa mambo ya ukweli. Huyu waziri kauli zake ni za kweli na za wazi, hataki kupaka rangi maneno yake. hawa ndio watu wanaotakiwa kwa maendeleo sio wale wanaopenda kupaka rangi maneno kwa mambo yasiyowezekana ili kupata support ya watu. Ni vema ungeonesha hizo kauli uongo wake na ukweli wako ikiwa ni pamoja na soluhisho lako.
 
Serikali yetu sikivu ya CCM imekataa kutusikiliza kwa kumwajibisha waziri kama Muhongo kutokana na kauli zake chafu na zenye utata. Muhongo ni janga. Hawa ni baadhi ya mawaziri ambao inabidi watoswe ili kukinusuru CCM kushinda 2015.................Hizi ni baadhi ya kauli hatari sawa na za Mwigulu
Mleta mada uko milembe daya endelea na ujinga wako na kupotosha watu ila watu watachuja pumba na mchele.
 
Prof.Muhongo ni mkweli yeye hapigi siasa,kwa Watanzania ukweli hawautaki wamezoea kudanganywa.
 
Vipi hajasema mwaka 2015 ataomba apewe uwaziri kwenye serikali ya Chadema!
 
Prof.Muhongo ni mkweli yeye hapigi siasa,kwa Watanzania ukweli hawautaki wamezoea kudanganywa.

Jeumemsikia leo kutoka Mwanza akisema “ …Hatuwezi kuendelea na ujinga wa kutegemea umeme kutokana na maji…..umeme wetu utaanza kuzalishwa kutokana na gas etc ….” TBC. Kwanini anaita wazo la kupata umeme kwa njia yamaji lilikuwa la kijinga.Inawezekana limepitwa na wakati lakini halikuwa …’la kijinga..’Nadhani professor ni mzuri lakini ana shida ya choice of words jambo ambalo akitakakufuata ushauri anaweza kuliacha. Toneya speech zake ina chembe ya arrogance. Wakati unataka kuongoza mageuzi ukileta dharau haisaidii..!
 
Prof.Muhongo ni mkweli yeye hapigi siasa,kwa Watanzania ukweli hawautaki wamezoea kudanganywa.

Yaani kwako matusi ndo ukweli? Sijui kama wewe haumo kati ya wale walioongezewa maksi ili wafaulu kidato cha nne.
 
Jeumemsikia leo kutoka Mwanza akisema " …Hatuwezi kuendelea na ujinga wa kutegemea umeme kutokana na maji…..umeme wetu utaanza kuzalishwa kutokana na gas etc …." TBC. Kwanini anaita wazo la kupata umeme kwa njia yamaji lilikuwa la kijinga.Inawezekana limepitwa na wakati lakini halikuwa …'la kijinga..'Nadhani professor ni mzuri lakini ana shida ya choice of words jambo ambalo akitakakufuata ushauri anaweza kuliacha. Toneya speech zake ina chembe ya arrogance. Wakati unataka kuongoza mageuzi ukileta dharau haisaidii..!
The arrogance in his wording is what we do not want. Hata kama alipigiwa magoti na Rais, hiyo tu ni kumdhalilisha mkuu wake. Huenda anafanya hivyo ili aachishwe lakini aelewe kuwa if he had just a drop of uzalendo in him, basi angevumilia ili aiinue nchi yake kutoka kwenye hilo tope. Lakini anaposema, nina kazi yangu inaningojea kule Pretoria, anaonesha "UFALA" alio nao. Kumbuka ni mother Tanzania aliyekuelimisha wewe. Ulipoenda huko ukamdharau mama. Titi la mama ni tamu, ingawa ni la mbwa. Mtoto lazima ajilambe utamu wa maziwa yake.
Kwa nini ajione kama asiyetakiwa atoe mchango kwa nchi yake? Is this what we call Patriotism? Halafu yanakuja maccm hapa yanaporomosha maneno ya hovyo tu. Acheniiiiii
2015 CDM hatumhitaji huyoooo
 
Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri waji.nga na wapuu.zi serikalini,anajiona kauprof kake ndio kauuuuula,inawezekana ana kaugonjwa..ka akili kama anajiona ana uwezo...mkubwa kwa nini aliacha kazi yake rasmi na kuwa kama msemaji wa serikali kupitia wizara ya nishati na madini,prof njaa kama mwenzie Lipumba.
 
Back
Top Bottom