Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
kauli za mh. waziri mkuu
Jambo hili ni la Rais. Hivi ifike mahali tumpe Rais saa 72 kwa sababu eti umebeba maisha ya watu? Mimi hilo siliafiki hata Rais hawezi kuliafiki. Hata angekuwa mtu yeyote asingekubali. Siwezi kumwambia Rais atekeleze hilo, alisema Pinda. (hapo kwenye bluu waziri mkuu anamaanisha hata alipowaahidi madaktari kwenye mgomo wa kwanza kuwa swala la mawaziri wa afya lipo kwa rais alidanganya umma!, basi kama waziri mkuu alishalipeleka kwa rais ilikuwa ni suala la kumuuliza mh umeamuaje, tuwaambie nini madaktari au katika taarifa yake kwa vyombo vya habari angetoa taarifa nini kinachoendelea.)
Haya matatizo ni ya muda mrefu. Dk. Mponda maskini ana mwaka mmoja na kidogo. Baba wa watu wa mwaka mmoja ndio imekuwa issue kweli? Turudi tufanye mazungumzo, alisema Pinda.
(hapa waziri mkuu anamaanisha waziri wa afya hawezi kujiuzuru sasa mazungumzo ya nini?)
Kama madaktari wana dhamira nyingine fine (sawa).
Ngoja tuone kwanza, itakapotokea tutaona nini la kufanya.
(waziri mkuu ameona kuruhusu mgomo wa madaktari ni jambo la mwisho mpaka watu waanze kufa ndo wataona nini cha kufanya au mpaka wananchi walalamike ndo wataona nini cha kufanya)
mwisho kauli ya madaktari
"Sisi hatujabadilisha maamuzi yoyote msimamo wetu uko pale pale wa kuweka vifaa chini na hakuna mazungumzo yaliyofanyika na ofisi ya waziri mkuu tangu tulivyotoa tamko letu mpaka sasa na ndio maana tunasema mgomo unaanza kesho (leo) na hivi tunavyozungumza madaktari wanajiandaa," alisema
Jambo hili ni la Rais. Hivi ifike mahali tumpe Rais saa 72 kwa sababu eti umebeba maisha ya watu? Mimi hilo siliafiki hata Rais hawezi kuliafiki. Hata angekuwa mtu yeyote asingekubali. Siwezi kumwambia Rais atekeleze hilo, alisema Pinda. (hapo kwenye bluu waziri mkuu anamaanisha hata alipowaahidi madaktari kwenye mgomo wa kwanza kuwa swala la mawaziri wa afya lipo kwa rais alidanganya umma!, basi kama waziri mkuu alishalipeleka kwa rais ilikuwa ni suala la kumuuliza mh umeamuaje, tuwaambie nini madaktari au katika taarifa yake kwa vyombo vya habari angetoa taarifa nini kinachoendelea.)
Haya matatizo ni ya muda mrefu. Dk. Mponda maskini ana mwaka mmoja na kidogo. Baba wa watu wa mwaka mmoja ndio imekuwa issue kweli? Turudi tufanye mazungumzo, alisema Pinda.
(hapa waziri mkuu anamaanisha waziri wa afya hawezi kujiuzuru sasa mazungumzo ya nini?)
Kama madaktari wana dhamira nyingine fine (sawa).
Ngoja tuone kwanza, itakapotokea tutaona nini la kufanya.
(waziri mkuu ameona kuruhusu mgomo wa madaktari ni jambo la mwisho mpaka watu waanze kufa ndo wataona nini cha kufanya au mpaka wananchi walalamike ndo wataona nini cha kufanya)
mwisho kauli ya madaktari
"Sisi hatujabadilisha maamuzi yoyote msimamo wetu uko pale pale wa kuweka vifaa chini na hakuna mazungumzo yaliyofanyika na ofisi ya waziri mkuu tangu tulivyotoa tamko letu mpaka sasa na ndio maana tunasema mgomo unaanza kesho (leo) na hivi tunavyozungumza madaktari wanajiandaa," alisema