GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,568
- 108,910
" Nimemzidi mwaka mmoja ila Yeye amenizidi Urefu na Afya bora ".
Kwanini mnapenda kuwapa Watanzania mahala pa Kuanzia Kuhoji ' Kauli ' zako tata? Sasa kwa mfano wenye ' akili ' zao kuanzia leo wakianza ' Kuidadavua ' hiyo Kauli kwamba umezidiwa Afya bora na mwenzako kisha nao wakaanza kuhisi vingine au labda wakasema unajihamu kutokana labda na linalokusibu Kiafya ( kama lipo ) utawaona wabaya?
Tupunguze Kauli zingine zisizo na Tija kwa hadhira tafadhali!
Nawasilisha.
Kwanini mnapenda kuwapa Watanzania mahala pa Kuanzia Kuhoji ' Kauli ' zako tata? Sasa kwa mfano wenye ' akili ' zao kuanzia leo wakianza ' Kuidadavua ' hiyo Kauli kwamba umezidiwa Afya bora na mwenzako kisha nao wakaanza kuhisi vingine au labda wakasema unajihamu kutokana labda na linalokusibu Kiafya ( kama lipo ) utawaona wabaya?
Tupunguze Kauli zingine zisizo na Tija kwa hadhira tafadhali!
Nawasilisha.