frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Wakati jana, akichangia hoja ya inayoendelea bungeni alisema hivi.
"Nchi hii kuna Taasisi mbili tu au tatu zinazoaminika sasa na wananchi, ambazo ni bunge la JMT na JWTZ tu" nilipata mshangao sana wa kauli, hivi ni kweli hakuna taasisi nyingine zinazoaminika na wananchi.....
Kama zipo tuzitaje......
"Nchi hii kuna Taasisi mbili tu au tatu zinazoaminika sasa na wananchi, ambazo ni bunge la JMT na JWTZ tu" nilipata mshangao sana wa kauli, hivi ni kweli hakuna taasisi nyingine zinazoaminika na wananchi.....
Kama zipo tuzitaje......