Katuni ya Leo

Safari hii CCM kikidhania ya kwamba Dowans nayo ni kuku laini basi ndio wasubiri kuingiza sumu midomoni mwao wenyewe.
 
laiti wote tungelijua nguvu iliyo kenye katuni kwenye suala la kurahisisha uelewa, basi wachora katuni wetu pia wengeletewa 'mwalimu' kutoka nje kama raisi alivyofanya kwa maximo, riadha na netiboli. ...au liko kwenye mpano???
 
laiti wote tungelijua nguvu iliyo kenye katuni kwenye suala la kurahisisha uelewa, basi wachora katuni wetu pia wengeletewa 'mwalimu' kutoka nje kama raisi alivyofanya kwa maximo, riadha na netiboli. ...au liko kwenye mpano???

Mbona hakuna gumu hapo? Makamba alikuwa natarajia kuku mzima (JK 80.3%) kaambulia kipapatio (JK 61%)....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…