Mkuu haya ni mawazo ya chama tawala,ambapo amri jeshi ndo mwenyekiti wa chama.
alafu ukumbuke katiba ya wananchi ilipendekeza mamlaka ya rais yapunguzwe,mkaipoka!
Na hilo ndo tutaanza nalo.Mawazo ya kizamani kamwe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa mabadiliko.
EL,Sumaye na Kingunge wamebadilika ndo maana wapo upande wa mabadiliko
waliobaki bado wana mawazo ya zidumu fikira za mwenyeki.