Katika kuilinda Demokrasia na kwa faida ya 'Common good ya Kanisa', Samia Suluhu na Genge lake watafikishwa ICC

Katika kuilinda Demokrasia na kwa faida ya 'Common good ya Kanisa', Samia Suluhu na Genge lake watafikishwa ICC

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Kufikishwa ICC Kwa Samia Suluhu na Genge lake kunaenda kutupatia Katiba Mpya na Tume Mpya huru ya Uchaguzi yenye Reforms za kutosha.

Taarifa za Uhakika kabisa ni kua, SAMIA na Genge lake Wajiandae kwenda ICC !!

Hiko wanachokiita Tume ya kuchunguza hakitamuokoa !!.

Bahati mbaya sana, Moja ya kosa alolifanya kabla ya Uchaguzi, ndio anaendelea kulifanya hata sasa .

Unamfunga Jela Mwenyekiti wa Chama Kikuu Cha Upinzani? Mwenyekiti wa IDU? Manusura wa Risasi 16 mwilin? Unamzuia asishiriki Uchaguzi Mkuu, unakifungia Chama Kikuu Cha Upinzani kufanya Shughuli za Kisiasa, haikutosha, UNAFANYA MAUAJI ya WANANCHI ZAIDI ya 10000 , ALAFU UTEGEME DUNIA IKUANGALIE 🤣

Haitakaa kamwe itokee !!
Sasa Samia na Genge lako na Machawa, Jiandaeni.
 
Na bado anatoa kejeli kwa aliowaua, kaomba msamaha kwa kufunga internet lakini hajawahi kuomba msamaha kuua watanganyika, kuzuia miili ya aliowaua ili wakazikwe na ndugu zao, kisha akaenda kuifukia kama kuku waliokufa kwa mdondo.

Aisee nikiona hijab nashtuka kama nimekutana na jini, tena hijab nyekundu na miwani
 
Samia kupelekwa ICC kunaweza kufurahisha maadui wake lakini kama Taifa hatuna budi kutafakari zaidi.
Matatizo ya nchi hii sio Samia Suluhu Hassan.
 
SSH kamwe hakuwahi kuaminiwa, kuaminika, kutamani, kuandaliwa, ama kujiandaa kubeba majukumu ya nafasi ya urais. Ghafla bin vuu amejikuta akishikilia nafasi hoyo kwa bahati tu.

Hii ndiyo sababu kuu ya kupelekeshwa na kikundi fulani cha mafisadi kwa manufaa yao binafsi. Nyuma ya mamlaka aliyokuwanayo kikatiba ipo mamlaka nyingine inayomtisha na kumpelesha kwa jinsi inavyotaka.
 
SSH kamwe hakuwahi kuaminiwa, kuaminika, kutamani, kuandaliwa, ama kujiandaa kubeba majukumu ya nafasi ya urais. Ghafla bin vuu amejikuta akishikilia nafasi hoyo kwa bahati tu.

Hii ndiyo sababu kuu ya kupelekeshwa na kikundi fulani cha mafisadi kwa manufaa yao binafsi. Nyuma ya mamlaka aliyokuwanayo kikatiba ipo mamlaka nyingine inayomtisha na kumpelesha kwa jinsi inavyotaka.
Trump anaendesha USA kwa kuwasikiliza matajiri. Lipo kundi la watu wachache nyuma ya pazia.

Inategemea hao walio nyuma yako maslahi yao na ya taifa kama yanakwenda sambamba. SSH ana akili pana ya kimaendeleo yupo kibiashara zaidi hayati JPM alikuwa kijamaa zaidi.
 
YULE MAMA MIMI NAMUOGOPA NI ZAIDO YA SHETANI.
ANAVAA SHUNGI HUKU ANAKULA DAMU.
Ni tule tumama tunakuaga tuchawi Sanaa, rohoo mbayaa.

Sema taarifa za kuthibitisha nilizozipata Leo, SAMIA ANAFIKISHWA ICC.

Mabeberu wamegoma kabisa.
Vatican imegoma kabisa.


Waziri wa China hii juzi alikuja Kwa ajili ya kufanya naye mashauriano namna ya kumchomoa hapo Kwa ICC.
 
Na bado anatoa kejeli kwa aliowaua, kaomba msamaha kwa kufunga internet lakini hajawahi kuomba msamaha kuua watanganyika, kuzuia miili ya aliowaua ili wakazikwe na ndugu zao, kisha akaenda kuifukia kama kuku waliokufa kwa mdondo.

Aisee nikiona hijab nashtuka kama nimekutana na jini, tena hijab nyekundu na miwani
Halafu anajifanya yeye na wenzie kama hakuna kitu chochote kilichotokea. Hili jambo linaniuma😭😭
 
1. Labda ICC ya kamati kuu ya TECDEMA

2. Hapa si kujitetea sana bali nikukuweka sawa nyumbu usiye na kumbukumbu
-tundu hajawahi na wala chama chake hakijawahi kukatazwa kuingia uchaguzini
-tundu aliitisha kikao cha wote waliokuwa na nia ya kugombea akawambia chadema haitashiriki uchaguzi mkuu.
-tundu alizuiliwa kukinukisha lakini hakuzuiliwa uchaguzi
-chadema na viongozi wake wa kukinukisha walitembea nchi nzima wakijinadi kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu bali watazuia uchaguzi (hapa alizuiwa vipi?)

3. sisi hatukuchagua rais wa IDU bali rais wa JMT, hatupo chini ya IDU

4. Hata angenusurika risasi zaidi ya 50k, hyo siyo ticketi ya kumfanya aonewe huruma pale anapoandaa ujinga dhidi ya tanzania.

TUISUBIRI ICC YA BAZECHA
 
1. Labda ICC ya kamati kuu ya TECDEMA

2. Hapa si kujitetea sana bali nikukuweka sawa nyumbu usiye na kumbukumbu
-tundu hajawahi na wala chama chake hakijawahi kukatazwa kuingia uchaguzini
-tundu aliitisha kikao cha wote waliokuwa na nia ya kugombea akawambia chadema haitashiriki uchaguzi mkuu.
-tundu alizuiliwa kukinukisha lakini hakuzuiliwa uchaguzi
-chadema na viongozi wake wa kukinukisha walitembea nchi nzima wakijinadi kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu bali watazuia uchaguzi (hapa alizuiwa vipi?)

3. sisi hatukuchagua rais wa IDU bali rais wa JMT, hatupo chini ya IDU

4. Hata angenusurika risasi zaidi ya 50k, hyo siyo ticketi ya kumfanya aonewe huruma pale anapoandaa ujinga dhidi ya tanzania.
Siku zaja ambapo ututamani haya maneno yako ya makufuru uyarudishe mdomni kwako lkn haitawezekana.
 
Back
Top Bottom