Kalunguine JF-Expert Member Jul 27, 2010 2,543 134 Feb 11, 2012 #1 Wana JF malumbano yalikuwa ni mengi sana wakati wa mchakato wa maandalizi ya kuelekea utayarishaji wa katiba mpya,Je Rais J . K Kikwete amefanya kile ambacho watanzania wanakitaka?
Wana JF malumbano yalikuwa ni mengi sana wakati wa mchakato wa maandalizi ya kuelekea utayarishaji wa katiba mpya,Je Rais J . K Kikwete amefanya kile ambacho watanzania wanakitaka?
Ufunuo JF-Expert Member Jun 6, 2011 563 160 Feb 11, 2012 #2 ukweli kajitahidi kuliko tulivyokua tukimdhania angekua anajiamini kidogo angeweza kuwa rais ambae tungemkumbuka sana.
ukweli kajitahidi kuliko tulivyokua tukimdhania angekua anajiamini kidogo angeweza kuwa rais ambae tungemkumbuka sana.