Katika kipindi hiki cha mwanzo cha maandalizi ya katiba mpya,Rais Kikwete amefanya vizuri?

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
Wana JF malumbano yalikuwa ni mengi sana wakati wa mchakato wa maandalizi ya kuelekea utayarishaji wa katiba mpya,Je Rais J . K Kikwete amefanya kile ambacho watanzania wanakitaka?
 
ukweli kajitahidi kuliko tulivyokua tukimdhania angekua anajiamini kidogo angeweza kuwa rais ambae tungemkumbuka sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom