Katika hili, Star TV walipotoka

Ni vizuri vyama vya siasa vikawa na vyombo vyake vya habari. hii yakutegfemea mtu inachelewesha ukombozi wa kweli
 
Kila chombo cha habari kina 'internal ideologue' ndio maana unaweza kutofautisha gazeti la UHURU, TAZAMA, JAMBO LEO na TANZANIA DAIMA, MWANAHALISI, RAIA MWEMA nk. Tusiwalaumu Star TV. Jambo jema ni kuwa uwanja ni mpana ukiona chombo fulani kinamwelekeo fulani uanageukia upande mwingine. Ndio maana kuna watu wameshasahau kuwa bado kuna magazeti ya UHURU na MZALENDO lakini huko nyuma tulikuwa hatuna uchaguzi lazima uyasome hayo labda ukikwepa utasoma MFANYAKAZI (halipo sasa). Na wengine wameshasahau kama kuna redio inaitwa TBC (zamani RTD) wengi huikumbuka inapotangaza mpira wa Simba na Yanga. Waacheni watasahaulika taratibu!
 
Si hivyo tu, jana Star Tv wamezuiliwa na boss wao, Diallo kurusha hewani Live uzinduzi wa M4C kanda ya ziwa toka gold crest hotel- mwanza kinyume na makubaliano ya awali.
 
tv ya ccm sasa unashangaa nini
 
Wanao fikili kimas......i ni nyinyi cdm kila kitu mnata upendeleo hamna hata aibu, vyombo ya kuanzia simnavyo vile vya disco au yale mafuso yenu si yanatosha kabisa? Au mchaga kaisha weka stoo maana hakawii kusema anawadai!
 
Wanao fikili kimas......i ni nyinyi cdm kila kitu mnata upendeleo hamna hata aibu, vyombo ya kuanzia simnavyo vile vya disco au yale mafuso yenu si yanatosha kabisa? Au mchaga kaisha weka stoo maana hakawii kusema anawadai!

Hehehe swadaktaa jamaa wanazogo hawa sasa mbona kuna vyama hata kuoneshwa havioneshwi wala hawalalamiki hichi chama kweli cha promo wanapenda kuuza sura
 
Yap, ni kweli Star tv ina mapungufu mengi kwa sasa, hasa baada ya mzee kupewa cheo. Anyway hatusemi wapendelee watu flan, kinachotakiwa ni kuwa fair kama mwanzo, yan kuanzia pale Dialo alipoanguka mpaka juz juz alipopata uenyekiti mkoa. KWENYE MADA; Hamkutangaza habar husika siku ya tukio, lakin baada ya viongoz kumpinga Wenje ndo mnatoa habar zote, hiyo ni aibu kwa kituo kama hiki, mana kama alichosema Wenje haikuwa habar kwenu, iweje waliompinga iwe ndo habari.
 

TBC haiwezi kufa, hujui inaendeshwa kwa kodi yako???
 
Information is power so Suluhisho la kudumu ni CDM kuwa na Radio plus TV ...Otherwise tutaendelea kupotoshwa, kunyimwa taarifa sahihi...Sijui kwanini CDM hawalioni hili...
 
Chadema, hivi ni kweli hamuwezi kuanzisha tv yenu? star tv, itv, chanel ten zote ni mali za makada wa ccm.
 
mkuu umesema vema viongozi wa cdm naona wamejisahau na wanategemea media za magamba kama star tv.badala ya kuanzisha vya kwao!
 
Wanao fikili kimas......i ni nyinyi cdm kila kitu mnata upendeleo hamna hata aibu, vyombo ya kuanzia simnavyo vile vya disco au yale mafuso yenu si yanatosha kabisa? Au mchaga kaisha weka stoo maana hakawii kusema anawadai!
Kila binadamu kapewa ubongo wake
 
Star T.V. wangetusaidia kwa kuhoji upande wa pili ili Wenje akiri au akanushe taarifa hiyo kabla ya wana JF hatujachangia hapa jamvini.
 
Heh!Huyu naye ametoka wapi?
 
Anzisha yenu kwenye ule ukumbi wa disco wa mh. Mbowe

Wewe ndo vijana wa katibu mkuu mpya nini hapa jamvini maana kasi yako siyo mbaya sana? Naona kazi nzuri posho utakayopokea leo kweli utakuwa umeifanyia kazi! Keep it up ila hutaweza kubadilisha waliobadilika na wala kutaweza kuzuia kubadilika wanaotaka mabadiliko. Timiza wajibu wako ukapate posho yako mkuu!
 
Si hivyo tu, jana Star Tv wamezuiliwa na boss wao, Diallo kurusha hewani Live uzinduzi wa M4C kanda ya ziwa toka gold crest hotel- mwanza kinyume na makubaliano ya awali.

Watanzania bwana, Dialo baada ya kusota nje ya system kwa muda kupewa mwenyekiti wa nyinyiemu basi sasa anataka kuharibu na biashara yake tena kwa ajili tu ya chama! Wafanyabiashara wetu siku ccm inaingia kaburini na biashara zao zitaisindikiza ccm maana sidhani kama kunamfanyabiashara aliye kada wa ccm biashara yake itapona.
Hakuna TV iliyokuwa na taarifa ya habari nzuri kama starTV lakini kuanzia siku chache hata watangazaji naona hawana motisha tena maana naona anakuwepo sijui mtangazaji mmoja tu siku hizi kwa taarifa nzima. TV hii itapoteza watangaz;I wazuri lazima maana naamini mtu kama Angero Mwoleka sidhani kama atakubali kutetea ccm wakati amekuwa akiiponda siku zote!

Kuna mtangazaji mmoja wa StarTV ni member humu labda atajitokeza kujibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…