Aisee watu wengine wanaishi kiupole sana. Yaani huyo fundi unatakiwa kumfanyia umafia tu, ndiyo dawa yake. Kama vipi tafuta watoto wa kihuni umuharibu reception kwanza. Yaani mimi mtu hawezi kuniletea uhuni kama huo halafu nikamuacha tu hivi hivi. Hususani kama anajifanya kichwa ngumu kama huyo.