Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 523
ccm ni ile ile oooooh ile ileeeeeeeee hahhaahhah lazima ccm ife nitashiriki kuiua ccm mm sihami ila kura yangu ukawa
Andika kwa urefu ueleweke kamandawadau mwaka huu tutashuhudia mengi.jana mwenyekiti ya CCM shinyanga leo kimenuka kilimanjaro.VIVA UKAWA!!
Tuvumilieni jamani hiki chama ni chetu wote sio cha msoga
yaani
CCM YAMETUFIKA HAPPA
Kwa kweli ccm tumeshikwa pabaya mwaka huu.
ccm kaskazini imeshazikwa sasa
Jamani jamani tuhurumiane BP ZINAPANDA KILA TUFUNGUAPO APP YA JF!!!
Mara huyu kajiuzulu mara yule aaah
Sasa wanaaoondoka mbona ni wachaga tupu? Au chadema ndio wanajisikia nyumbani.
pambaf!Mgeja na Guninita ni wachagga?Sasa wanaaoondoka mbona ni wachaga tupu? Au chadema ndio wanajisikia nyumbani.
Ccm kaskazini imeshazikwa sasa
wadau mwaka huu tutashuhudia mengi.jana mwenyekiti ya CCM shinyanga leo kimenuka kilimanjaro.VIVA UKAWA!!
sasa huu upako wa lowassa ni shida na hapo alipita tu hakusimama angesimama ingekuwaje ofisi za ccm sizingebadilishwa rangi !!