katibu wa TFF kung'olewa

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,657
3,679
Taarifa niliyoipata si mda mrefu ni kuwa katibu wa TFF ndugu mwesigwa celestine jumamosi ijayo kwenye mkutano kamati ya utendaji anaenda kung'olewa.
Malinzi amekuwa anamshutumu katibu wake kuwa ameshindwa kuisimamia ipasavyo taasisi hiyo kwani mpaka sasa TFF inamadeni ya kutosha Timu haifanyi vema, wafanyakazi wakiwa na miezi 3 hawajalipwa mishahara,pesa za wadhamini hazijulikani zilipo
Malinzi ameamua kumsimamisha kazi kabla mkataba wake haujaisha mwezi desemba maana amechoka kusakamwa

MOOD MSIIFUTE HII THREAD NAOMBA MWENYE UWEZO WA KU UPLOAD AUDIO YA MAZUNGUMZO AJE KWA DM NIMTUMIE MM NIMESHINDWA
 
Taarifa niliyoipata si mda mrefu ni kuwa katibu wa TFF ndugu mwesigwa celestine jumamosi ijayo kwenye mkutano kamati ya utendaji anaenda kung'olewa.
Malinzi amekuwa anamshutumu katibu wake kuwa ameshindwa kuisimamia ipasavyo taasisi hiyo kwani mpaka sasa TFF inamadeni ya kutosha Timu haifanyi vema, wafanyakazi wakiwa na miezi 3 hawajalipwa mishahara,pesa za wadhamini hazijulikani zilipo
Malinzi ameamua kumsimamisha kazi kabla mkataba wake haujaisha mwezi desemba maana amechoka kusakamwa

MOOD MSIIFUTE HII THREAD NAOMBA MWENYE UWEZO WA KU UPLOAD AUDIO YA MAZUNGUMZO AJE KWA DM NIMTUMIE MM NIMESHINDWA
Tunasubiri hiyo audio.
 
Hajui hata hayo maposho anayojilipa?
Mwesigwa ndiyo alipangisha ofisi za TFF kule Town Centre huku wakiacha ofisi zao pale Karume?
Huyo Malinzi ndiye jipu.
 
Back
Top Bottom