Katibu wa Lema, Ndg. Innocent J. Kisanyage ampongeza RC Gambo kwa kazi nzuri ya kukusanya rambirambi

Kolomije wa Dar

JF-Expert Member
Apr 10, 2017
284
789
Ahsante sana Regional Chief Accountant ndugu Mrisho MASHAKA Gambo kwa mahesabu haya sema ni ile haraka haraka tuu hapo kwenye Sub total ilipaswa kuwa Tsh163,069,540/= na siyo Tsh 158,569,540 = kama ulivyoishusha.

Mliwapiga Kagera Rambirambi zao hapa Atown kwa Wajanja ni jino kwa jino mbona mtarudisha chenchi kwa Wafiwa.

Kuna tofauti ya Tsh 4,500,000/= nahisi ulikuwa unakimbizana na ile deadline ya siku 3 aliyokupa Mstahiki Meya wa Jiji Arusha Mh Kalisti Lazaro

Swali:

Hivi huyu Bwana Mkubwa "MASHAKA" anavyopendaga misifa ya media leo katoa taarifa ya Makusanyo ya RAMBIRAMBI na Matumizi kimya kimya bila hata press release alafu akazima simu hataki maswali ya Waandishi wa Habari na hii shughuli mwanaume kaipiga mwenyewe mwanzo mwisho hakuna cha Kamati ya Maafa, RAS,Mhasibu wala nini, yaani yeye ndiyo kila kitu [HASHTAG]#shubamiiti[/HASHTAG] kweli kuna watu hawana huruma jamani.

[HASHTAG]#WeweRCMunguAnakuona[/HASHTAG]
Kweli RC katufanyia show yakibabe

source: ukurasa wake Fb
 
Jana kulikua na mazishi ya jirani yetu hapa mtaani mazishi yalifanyika makaburi ya njiro basi watu tshamaliza kuzika sa 11 mara tunaona V8 linaingia na bendera yake fasta gambo anataka apewe Shada na Maiki aanze siasa zake watu baada ya kuskia Gambo anataka kuongea kla mtu akapanda gari na kuondoka akabaki na wanaccm kama 10 arusha hatutakagi ujinga Diwani anaheshimika kuzidi RC
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.
So what ????
 
Jana kulikua na mazishi ya jirani yetu hapa mtaani mazishi yalifanyika makaburi ya njiro basi watu tshamaliza kuzika sa 11 mara tunaona V8 linaingia na bendera yake fasta gambo anataka apewe Shada na Maiki aanze siasa zake watu baada ya kuskia Gambo anataka kuongea kla mtu akapanda gari na kuondoka akabaki na wanaccm kama 10 arusha hatutakagi ujinga Diwani anaheshimika kuzidi RC
Hiviii hukuwa na kale kakamera kako ukaturekodia tumuone huyo GAMBUSH?
 
Jana kulikua na mazishi ya jirani yetu hapa mtaani mazishi yalifanyika makaburi ya njiro basi watu tshamaliza kuzika sa 11 mara tunaona V8 linaingia na bendera yake fasta gambo anataka apewe Shada na Maiki aanze siasa zake watu baada ya kuskia Gambo anataka kuongea kla mtu akapanda gari na kuondoka akabaki na wanaccm kama 10 arusha hatutakagi ujinga Diwani anaheshimika kuzidi RC
Kumbe Na wewe ulikuwepo?
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.

Inasikitisha sana mnapowapa vichwa hawa mabogi,yule wa Tanga ameukata mradi mkubwa wa kujenga Rehabilitation Centre Tanga kisa siasa.

Kwa hiyo Warioba alijua kwa nini hawa wapuuzi the so called wakuu wa wilaya/mkoa hawahitajiki na ndiyo wezi na wanadumaza maendeleo ya mikoa/Wilaya
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.
Na hapo Ndipo ccm hupatumia kuweka "matakataka"yao ili kuwa confuse watu wa maana na wenye maslahi kwa mkoa "wao" sasa unakuta linaletwa lipumbavu kutoka hukoooo halafu linakuja na kudai eti Mkoa Wangu! Na wewe unasema eti anaweza kuamua chochote Kwenye mkoa "Wake"laanakhum
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.
Mkuu huwa sipendi kubishana hasa mambo ya siasa yasiyo na tija lakini acha nikujibu kwa heshima;

1- Gambo ni mkuu wa mkoa halali hili
halina ubishi, tatizo vitendo vyake
Vinajenga chuki, hasa ubabe na siasa
za maji taka ilhali yeye ni kiongozi/
M/kiti wa ulinzi wa usala asiyepaswa
kuegemea chama.
2- Huyu bwana anafanya siasa kwa kila
Kitu. Hivi majuzi alikuwa na ziara manispaa ya Arusha, ni aibu tupu, anafanya kampeni ya chama badala ya kutumikia wananchi wote sawa na wadhifa wake.

3. Mbona mtamgulizi wake Ntibenda alikubalika sana?
3. Inakuwaje Mkuu wa mkoa awe mhasibu na ana wasaidizi wake?
4. Inakuwaje rambirambi zitumike kulisha wageni ngazi ya taifa badala ofisi yake au mfuko wa maafa kutumika?
Tuache kutetea kila ujinga kwa mrengo wa chama, tuupinge ubaya bila kujali kafanya wa chama gani
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.

Tumekusikia Bashite!
 
Kweli kapongezwa kwa akili za ki ccm hapo ni pongezi kubwa, haya Gambo ashukuru basi kwa pongezi hizo na afanye marekebisho hapo kwenye kosa,...kalagabaho walijisemea wahenga.
 
Mkuu huwa sipendi kubishana hasa mambo ya siasa yasiyo na tija lakini acha nikujibu kwa heshima;

1- Gambo ni mkuu wa mkoa halali hili
halina ubishi, tatizo vitendo vyake
Vinajenga chuki, hasa ubabe na siasa
za maji taka ilhali yeye ni kiongozi/
M/kiti wa ulinzi wa usala asiyepaswa
kuegemea chama.
2- Huyu bwana anafanya siasa kwa kila
Kitu. Hivi majuzi alikuwa na ziara manispaa ya Arusha, ni aibu tupu, anafanya kampeni ya chama badala ya kutumikia wananchi wote sawa na wadhifa wake.

3. Mbona mtamgulizi wake Ntibenda alikubalika sana?
3. Inakuwaje Mkuu wa mkoa awe mhasibu na ana wasaidizi wake?
4. Inakuwaje rambirambi zitumike kulisha wageni ngazi ya taifa badala ofisi yake au mfuko wa maafa kutumika?
Tuache kutetea kila ujinga kwa mrengo wa chama, tuupinge ubaya bila kujali kafanya wa chama gani
Mkuu,
Kumbuka wakuu wa mikoa ni wateuliwa wa kisiasa kwa hiyo kimantiki nitakushangaa kama unashangaa na kujiuliza kwa nini anafanya siasa.

Kumbuka tatizo kubwa la siasa wakati mwingine hazina sheria.

Hoja ya msingi kwangu ni aina gani ya siasa anazozifanya. Je, zina manufaa gani kwake,
Kwa wana Arusha na serikali kwa ujumla.
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.
Zipi hizo sheria ambazo mkuu wa mkoa anaweza kuzikata?
Kama huwezi kuziweka hapa naomba unidirect hata kifungu gani tu nikasome inayomruhusu kufanya hivyo
 
Mkuu,
Kumbuka wakuu wa mikoa ni wateuliwa wa kisiasa kwa hiyo kimantiki nitakushangaa kama unashangaa na kujiuliza kwa nini anafanya siasa.

Kumbuka tatizo kubwa la siasa wakati mwingine hazina sheria.

Hoja ya msingi kwangu ni aina gani ya siasa anazozifanya. Je, zina manufaa gani kwake,
Kwa wana Arusha na serikali kwa ujumla.
Hazina manufaa hata kidogo zaidi ya kuwagawa wana Arusha. Katika ziara zake ni ccm pekee huwezi kuona hata diwani wa eneo husika
 
Tunajifariji kisiasa tu lakini ukweli ni kwamba kwa madaraka aliyopewa Mkuu wa Mkoa ndani ya katiba na sheria hamuwezi kumuepuka hata kidogo.

Mtafanya mambo yote lakini mwisho wake lazima Mkuu wa Mkoa akamilishe.

Muundo wa katiba yetu unasema hakuna serikali za mitaa bila serikali kuu lakini serikali kuu inaweza kuwepo bila serikali za mitaa.

Ni sawa na wabunge kusema hawamtambui Rais wa Tanzania wakati msingi wa kazi zao ni kuisimamia serikali inayoundwa na Rais.

Madiwani hawawezi kutunga sheria ndogondogo bila kwanza kupitia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla haijafika kwa Waziri wa TAMISEMI.

Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuzikataa sheria ndogondogo kama anadhani hazina maslahi kwa mkoa wake.

Kumuepuka RC ni ngumu ila kumuepuka mla rambirambi ni rahisi sana
 
Back
Top Bottom