Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 388
- 271
Mbona unashangaza! Umeumia kwasababu ni katibu wa CCM au kwa unyama uliofanyika?? R.I.P Gamba.TULIKOFIKIA WATANZANIA NIKUBAYA SANA.
Nalaani Kwa Nguvu Zote Kwa Wanasiasa wanaofanya unyama wa Namna hii.
Siasa za Tanzania Zimekuwa Siasa za Ajabu sana sana kwani Mauwaji, Villema, Wanaongezeka Kisa tu Uroho wa Madaraka.
Timama hii....
Huu ni mwili wa Katibu wa ccm kata ya mwaruguru aliyechinjwa Jana usiku
Maeneo ya Kagongwa Kahama Shinyanga.
Tumefikia Hatua yakuuwana Kisa Vyeo vya Serikali za Mitaa !!?
Kweli Mtanzania Unaejitambua Ulieshida Imani ya Dini Na Hofu ya Mungu unamuuwa Mwenzio Kisa Cheo cha Kisiasa?
Nimeumizwa sana Na Kitendo hiki cha Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Kuuwawa Kinyama Kwa Kuchinjwa kama Kuku kisha Kutelekezwa.
Hakika Duniani Tunapita tu !
Hukumu iko Kwa Mungu wale wote watendao Madhambi haya kisa Madaraka Mungu atalipa Kwa Imani yetu tunaoamini.
But Seikali Na Jeshi LA Police Tunaliomba Lifanye kazi yake Kwa Ufasaha kabisa likishirikiana Na Raia wema kuwafichua watu Hawa waovu, Mimi Naamini Watendaji wa Matukio haya tunaishi nao Mitaani ivo tunauwezo mkubwa wakuwasemea ktk Vyombo Vya Usalama Wawajibishwe.
Samahani Kwa Picha hii najua sio Ethical Kwa Haki za Kibinadamu pia Media Ethics haziruhusu imenilazimu Kufanya Kwa Maumivu ninayoyapata hapa.
RIP Ndugu yetu Kamanda Na Kada wa Chama Cha Mapinduzi.
Naamini umekufa kishujaa kite tea Chama chako Na Haki yako yakimsingi Umechinjwa Na uniform ya Chama Cha Mapinduzi .
Hakika Umekifia Chama.
Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi Amen......!!
tulikofikia watanzania nikubaya sana.
Nalaani kwa nguvu zote kwa wanasiasa wanaofanya unyama wa namna hii.
Siasa za tanzania zimekuwa siasa za ajabu sana sana kwani mauwaji, villema, wanaongezeka kisa tu uroho wa madaraka.
Timama hii....
Huu ni mwili wa katibu wa ccm kata ya mwaruguru aliyechinjwa jana usiku
maeneo ya kagongwa kahama shinyanga.
Tumefikia hatua yakuuwana kisa vyeo vya serikali za mitaa !!?
Kweli mtanzania unaejitambua ulieshida imani ya dini na hofu ya mungu unamuuwa mwenzio kisa cheo cha kisiasa?
Nimeumizwa sana na kitendo hiki cha katibu wa chama cha mapinduzi kuuwawa kinyama kwa kuchinjwa kama kuku kisha kutelekezwa.
Hakika duniani tunapita tu !
Hukumu iko kwa mungu wale wote watendao madhambi haya kisa madaraka mungu atalipa kwa imani yetu tunaoamini.
But seikali na jeshi la police tunaliomba lifanye kazi yake kwa ufasaha kabisa likishirikiana na raia wema kuwafichua watu hawa waovu, mimi naamini watendaji wa matukio haya tunaishi nao mitaani ivo tunauwezo mkubwa wakuwasemea ktk vyombo vya usalama wawajibishwe.
Samahani kwa picha hii najua sio ethical kwa haki za kibinadamu pia media ethics haziruhusu imenilazimu kufanya kwa maumivu ninayoyapata hapa.
Rip ndugu yetu kamanda na kada wa chama cha mapinduzi.
Naamini umekufa kishujaa kite tea chama chako na haki yako yakimsingi umechinjwa na uniform ya chama cha mapinduzi .
Hakika umekifia chama.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amen......!!
Weka picha usikute amefumaniwa hukoNatamani Kuiweka Picha ya Mwili wa Katibu AlieChinjwa APA lakini Naona Sio Sahihi.
Amechinjwa akiwa Kavalia Shati LA CCM akiwa Kazini kukijenga Chama.