MTOTO KITAA
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 245
- 115
ndugu zangu kwa sasa nimechoka kuwa punda wa mtei na mbowe, kila siku naambiwa nipige kazi tu, huku nikiambiwa chama hakina pesa, huku watu wanaenda dubai, wanakopeshana, wanaruka na chopa angani, wanajilipa mishahara minono, hawana uzalendo, hawajui demokrasia. mimi mi napiga kazi wenzangu wanakula bata dubai, sasa naimba hivi, mwambie farao mie nimeokoka sirudi tena.......... kwa kherini mazombi mliobakia, endeleeni kutumika.