Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,691
Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam ndugu Hussein Athuman Egobano Amepokelewa kwa shangwe na Hamasa Kubwa ndani ya Kata ya Kisukuru huku akiongoza maandamano ya Hamasa Kwa Vijana wa Kisukuru na Kutembelea Vijiwe na Vikundi mbali kuhamasisha Kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura Kabla ya Kuingia Katika Kikao Kazi na Viongozi wa Vijana Wa Kata na Matawi ndani ya Kata ya Kisukuru.
Katika Kikao Kazi aliwahamasisha na Kuwaeleza Viongozi Wajibu na Majukumu Yao katika Kipindi hiki cha Kuandikisha Wapiga kura.
Katika Kikao Kazi aliwahamasisha na Kuwaeleza Viongozi Wajibu na Majukumu Yao katika Kipindi hiki cha Kuandikisha Wapiga kura.