Amiri Kadau
Member
- Jan 27, 2014
- 5
- 2
Yaani hata waliomo wapo basi tu, issue ya Tegeta escrow itawagharimu sana na imemkalia vibaya mwenyekiti! Bora hawa walioona na kuamua mapema
Katibu mwenezi wa CCM kata ya Bulyanhulu iliyopo wilayani Msalala mkoani Shinyanga bwana Dismas Aloyce amevua gamba leo mbele ya Kamanda Alphonce Mawazo mwenyekiti wa Mkoa wa Geita katika mkutano wa kampeni za serikali za mitaa uliofanyika katika kijiji cha Kakola.
View attachment 209872