Katibu mwenezi wa ACT Wazalendo wa Mkoa wa Kigoma ajiunga CHADEMA

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
Katibu mwenezi wa act wazalendo mkoani kigoma amekihama chama chake na kujiunga na chadema amesema chama hicho hakina lengo la kuleta ukombozi kwa watanzania ila kimekuwa kibaraka kwa ccm toka kianzishwe amesema chadema pekee ndoo chama chenye lengo la kulete maendeleo kwa wananchi.
4faaeacd057ed73a57a986b25a953076.jpg
 
Kamanda ili kuweka mambo sawa tuwekee jina la huyo katibu na ukatibu kwa ngazi gani..?
 
Ni vyema hayo anayoyasema yaka chukuliwa kama ni mtazamo wake binafsi kwa kuwa hakuna sehemu ya katiba ya ACT wazalendo inaposema kuwa ACT ni chama Tanzu/kibaraka wa chama cha mapinduzi
 
Karibu, ila kumbuka huku hoji tu yanayokuhusu mengine acha, chadema kuna kambare kama watatu tu..
 
Huyu ndugu hajielewi kabisa; yaani ametoka kwenye afadhali kwenda kwenye auwiiii
 
Huyu ndugu hajielewi kabisa; yaani ametoka kwenye afadhali kwenda kwenye auwiiii
Duh ccm mnaona ACT ina uafadhali??? Hvi hamuoni mnafanya mpka waonekane ccm B kweli??? Maana sijawahi sikia m-ccm anaiponda AACT...... hiiiii inawapa watu maswali sana juu ya credibility ya ACT kma wapinzani hapa TZ maana mpaka ccm inawasifia?? Mmmh a big question mark
 
Back
Top Bottom