Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 258
Ilianzakukataliwa na UKAWA wakadai wapinzani kazi yao kupinga kila kitu.
Waislamwaliakataa wakawapoza kwa change la macho la Pinda, Eti sheria itatambua hukumuza mahakama za kadhi, (Wamefunika Kombe)
Maaskofuwameandika walaka kupinga, wanadai walaka wao hauna upako.
Kubenuakaenda mahakamani, Tumeambiwa BMK lina mipaka na linapaswa kizingatia rasimu yakatiba iliyo wasilishwa, Sitta na Chenge wamebomoa msingi wa rasimu.
MwanasheriaMkuu wa Zanzibari kapiga chini vifungu Zaidi ya 20 vya katiba inayo pendekezwa,ameambulia kuzomewa na kutukanwa kuwa hafai.
Je baado hiini katiba ya Nchi?
Waislamwaliakataa wakawapoza kwa change la macho la Pinda, Eti sheria itatambua hukumuza mahakama za kadhi, (Wamefunika Kombe)
Maaskofuwameandika walaka kupinga, wanadai walaka wao hauna upako.
Kubenuakaenda mahakamani, Tumeambiwa BMK lina mipaka na linapaswa kizingatia rasimu yakatiba iliyo wasilishwa, Sitta na Chenge wamebomoa msingi wa rasimu.
MwanasheriaMkuu wa Zanzibari kapiga chini vifungu Zaidi ya 20 vya katiba inayo pendekezwa,ameambulia kuzomewa na kutukanwa kuwa hafai.
Je baado hiini katiba ya Nchi?