Je? ni kitu gani ungependa kiwepo kwenye katiba mpya?sikiliza maoni yafuatayo:-
DEREVA:-Trafiki wasiwepo barabarani.
MFANYABIASHARA:-TRA itaifishwe.
WANACHUO:-Bodi ya mikopo imilikiwe na Dowans.
WAKAZI WA MBAGALA NA GONGO LA MBOTO:-Ghala la mabom lijengwe IKULU.
Na wewe toa maoni yako kwa uchambuzi zaidi.............