Huu mjadala au maswali ya Mtweve ni muhimu na silo kubeza,na nikwa faida ya wasiojua.Kama wewe unayaona ni yakike wengine twaona yamsingi kwani sio kilamtanzania anifahamu vizuri katiba ya sasa na mapungufu yake,hive usiwachanganye JF nimtandao wakuelimishana na sio mkumbo nakuburuzwa na Hasira au itikadi zamtubinafsi