Nchi ikitengeneza maskini wa kutosha, inaweza kuwatumia kufanya chochote. Na hawa ndio muda si mrefu kutoka sasa watakodiwa na wanasiasa waliofilisika kisera kuanzisha vurugu za kutumia silaha ili malengo fulani ya kisiasa yatimie. Kumbuka yaliyotokea Kenya miaka ya Moi...
Kwa kweli Serikali ya CCM haina nia njema na raia wake hata kidogo. Hii maana yake nini? Na hii inadhihirisha kuwa hiyo katiba iliyopo ni kwa maslahi ya watu wachache na si kwa wananchi. Hapa walitaka vijana wajaze ukumbi mapema ili wenye uelewa wa kuchangia wakose nafasi. Ndo maana kule Dodoma waliwazuia wanafunzi wa vyuo vikuu wsiingie. Maana mswada wenyewe uko kwa kiingereza na hawa vijana wa mitaani wala hawajui chochote. MUNGU ni mwema, let us keep on praying, ipo siku kitaeleweka tu kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.