Katiba mpya na Pro. Shivji

Katiba mpya na Pro. Shivji

mamseri

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
707
Reaction score
292
Wakuu salamu kwenu., nimekuwa nafuatilia kila mdahalo wa katiba uliopita ila kwa bahati mbaya naona nguli wa mambo ya katiba kaachwa najiuliza kwa nini waandaaji hawamualiki.? Mwenye taarifa anijuze
 
Cc tulishaur serikali moja na prof shivj pia hata wakimuita haji. Waach wajuaji waendeleee.
 
Ushaur wake waliona haufai sasa wanaon hana maana kwakuw alipndkz serkali tofaut na mawaz yao.
 
amenunuliwa na sisiemu na kisha kuyakana baadhi yake.
 
Wassira anampigia chapuo aweze kuongezwa kwenye lile kundi la 201 ili isiwe namba tasa kwani hii ndo ilisababisha kupata katiba tasa. Usiogope utamsikia Dodoma kabla ya BMK kumaliza shuguli zake.
 
Kama mtu aliweza kukana machapisho yake mwenyewe,utamwalika aje azungumze kwa data za nani atakazozielewa?
 
Wakuu salamu kwenu., nimekuwa nafuatilia kila mdahalo wa katiba uliopita ila kwa bahati mbaya naona nguli wa mambo ya katiba kaachwa najiuliza kwa nini waandaaji hawamualiki.? Mwenye taarifa anijuze

Shame on him....! Siku zote wasaliti huishia kufia mitaloni huko, ssem wamemtumia kama kondom wamemwacha hana thamani tena. Yaani sikuamini kabisa Prof mwenye reputation kama yake hiyo hiyo kutumika na wanasiasa...! Shame on you!!!
 
Kwani wasira, lukuvi wanaongea kwa data? Wana takwimu gani zinazowaambia wananchi wanataka serikali mbili? Wana takwimu gani zinazosema wa Tanzania wamekataa tunu za taifa yaani uadilifu, uwazi na uwajibikaji? Wanabwabwaja tu kwa hila na ubabe bila takwimu. Labda naye atafanya hivyo!. Prof!.

Kama mtu aliweza kukana machapisho yake mwenyewe,utamwalika aje azungumze kwa data za nani atakazozielewa?
 
yule ni kama popo hubadilika badilika watu wenye uchungu na nnchi hii wameona wampotezee kwasababu ni mnafiki japo mi ni mwalimu wangu
 
Uzalendo ulimshinda akaamua kuvaa ngozi ya kondoo mna kumbe fisi
 
Back
Top Bottom