simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Wateule wa Rais na Waziri Mkuu kuongoza taasisi ya kupambana na rushwa kenya wapigwa chini na kamati(vetting commitee). Kamati ya mwambia Rais chagua tena hawa hawafai!
Wateule wa Rais na Waziri Mkuu kuongoza taasisi ya kupambana na rushwa kenya wapigwa chini na kamati(vetting commitee). Kamati ya mwambia Rais chagua tena hawa hawafai!
Kenya wana katiba nzuri sana nchi zote ukanda wa EA ikiwemo Tanzania hawana haja ya kuangaika kuunda katiba mpya wangeichukua katiba ya Kenya waifanyie marekebisho kidogo sana ili kupunguza gharama na kupoteza muda bure.
Kenya wana serikali moja sisi tuna serikali mbili ndani ya katiba ya Jamhuri ya Nchi moja
Kenya wana serikali moja sisi tuna serikali mbili ndani ya katiba ya Jamhuri ya Nchi moja