Katiba mpya inawaangusha ccm mda si mrefu

Katiba mpya inawaangusha ccm mda si mrefu

Aaron

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
3,019
Reaction score
4,695
Wana JF

Kwa wote mnaofatilia bunge la katiba pamoja na mijadala iliyojitokeza haya mawili tu yanatosha kuwaangusha ccm mda si mrefu
1. MAHAKAMA YA KADHI
Hili swala limeshawaangusha ccm japo halijaonekana wazi lakini ukweli ni kwamba limeisha wagawa ccm (tayari) na hawawezi kukiruka kiunzi hiki

2.UKOMO WA UBUNGE
Kama ccm wakijiloga wenyewe wakaondoa ukomo wa ubunge. Hili ni kaburi tosha kwa ccm wananchi wameisha choka na wabunge wao na kitendo cha kutokuwa na ukomo angalau hata miaka 20. Wananchi hakika hawawezi kuvumilia na utakuwa ni ubabe wa hali juu..
 
Wana jf
Kwa wote mnaofatilia bunge la katiba pamoja na mijadala iliyojitokeza haya mawili tu yanatosha kuwaangusha ccm mda si mrefu
1. MAHAKAMA YA KADHI
Hili swala limeisha waangusha ccm japo halijaonekana wazi lakini ukweli ni kwamba limeisha wagawa ccm (tayari) na hawawezi kukiruka kiunzi hiki
2.UKOMO WA UBUNGE kama ccm wakijiloga wenyewe wakaondoa ukomo wa ubunge. Hili ni kaburi tosha kwa ccm wananchi wameisha choka na wabunge wao na kitendo cha kutokuwa na ukomo angalau hata miaka 20. Wananchi hakika hawawezi kuvumilia na utakuwa ni ubabe wa hali juu..

Let us wait and see!
 
wana jf
kwa wote mnaofatilia bunge la katiba pamoja na mijadala iliyojitokeza haya mawili tu yanatosha kuwaangusha ccm mda si mrefu
1. Mahakama ya kadhi
hili swala limeisha waangusha ccm japo halijaonekana wazi lakini ukweli ni kwamba limeisha wagawa ccm (tayari) na hawawezi kukiruka kiunzi hiki
2.ukomo wa ubunge kama ccm wakijiloga wenyewe wakaondoa ukomo wa ubunge. Hili ni kaburi tosha kwa ccm wananchi wameisha choka na wabunge wao na kitendo cha kutokuwa na ukomo angalau hata miaka 20. Wananchi hakika hawawezi kuvumilia na utakuwa ni ubabe wa hali juu..
nakubaliana na wewe 100%
 
Wana jf
Kwa wote mnaofatilia bunge la katiba pamoja na mijadala iliyojitokeza haya mawili tu yanatosha kuwaangusha ccm mda si mrefu
1. MAHAKAMA YA KADHI
Hili swala limeisha waangusha ccm japo halijaonekana wazi lakini ukweli ni kwamba limeisha wagawa ccm (tayari) na hawawezi kukiruka kiunzi hiki
2.UKOMO WA UBUNGE kama ccm wakijiloga wenyewe wakaondoa ukomo wa ubunge. Hili ni kaburi tosha kwa ccm wananchi wameisha choka na wabunge wao na kitendo cha kutokuwa na ukomo angalau hata miaka 20. Wananchi hakika hawawezi kuvumilia na utakuwa ni ubabe wa hali juu..
Eee, Mungu utuepushie vita, ccm imeamua kuondoa umoja wetu na wanaanza kuleta mambo ya udini ili kutugawa, wakristo na waislamu tuwe makini ili kuhakikisha jambo hili halitokei. Ameeni.
 
Well said mkuu, mm nashangaa ivi hawa wenzetu wanashindwaje kushughulikia mambo yao ya kidini mpaka selikali iwasaidie? Nawakumbusha tu kuwa inchi hii haina dini nyerere alishasema na rasimu ya katiba imependekeza hivyo. Kuaanza kuleta tena mambo haya ni kujiingiza kwenye migogoro isiyo ya lazima. Naomba niwambie kuwa swala la mahakama ya kadhi hata waote vip halitakaa likubalike kamwe kama hawaamini basi wasubiri. Wamekosa ajira za kupambana sasa wanataka wapate ajira za bure eti wawe mahakimu wa qurani, acheni umburura someni elimu dunia muajiriwe wapuuzi ninyi!!!!!!!!!!!!!
 
Wana jf
Kwa wote mnaofatilia bunge la katiba pamoja na mijadala iliyojitokeza haya mawili tu yanatosha kuwaangusha ccm mda si mrefu
1. MAHAKAMA YA KADHI
Hili swala limeisha waangusha ccm japo halijaonekana wazi lakini ukweli ni kwamba limeisha wagawa ccm (tayari) na hawawezi kukiruka kiunzi hiki
2.UKOMO WA UBUNGE kama ccm wakijiloga wenyewe wakaondoa ukomo wa ubunge. Hili ni kaburi tosha kwa ccm wananchi wameisha choka na wabunge wao na kitendo cha kutokuwa na ukomo angalau hata miaka 20. Wananchi hakika hawawezi kuvumilia na utakuwa ni ubabe wa hali juu..

Mkuu ccm Tanzania ni yakwao na wanafanya wanavyotaka , hata bunge wanaliendesha kwa misingi hiyohiyo kwa kuwa watanzania hatuna chetu! Umasikini, ujinga na ulimbukeni ni siraha tosha wanayoitumia ccm kufanya watakavyo. Kwenye katiba Yale yote yanayohusu madaraka hawataki kupangiwa na wananchi namna ya kutawala wanataka kupanga wao kwa maslahi yao! Katika haya yote sisi watanganyika ndio tunastahili lawama kwani tumewapa vichwa ngumu ccm ndio maana hawamsikilizi mtu lkn elimu ya kutosha ingetolewa tungeweza kuwapangia namna ya kuiongoza nchi yetu
 
Si tumeamua kuwashabikia ccm kwa kukanyaga rasimu na hao baadhi ya viongozi wa kidini wanaunga mkono mambo ya ccm sasa tulieni mnyolewe.
 
..teh teh,mkuu suala la ukomo wa ubunge mwenyekiti wa ccm alishalikataa muda mrefu pale alipozindua bunge la maccm huko dodoma.ak.a bunge la posho!
 
Well said mkuu, mm nashangaa ivi hawa wenzetu wanashindwaje kushughulikia mambo yao ya kidini mpaka selikali iwasaidie? Nawakumbusha tu kuwa inchi hii haina dini nyerere alishasema na rasimu ya katiba imependekeza hivyo. Kuaanza kuleta tena mambo haya ni kujiingiza kwenye migogoro isiyo ya lazima. Naomba niwambie kuwa swala la mahakama ya kadhi hata waote vip halitakaa likubalike kamwe kama hawaamini basi wasubiri. Wamekosa ajira za kupambana sasa wanataka wapate ajira za bure eti wawe mahakimu wa qurani, acheni umburura someni elimu dunia muajiriwe wapuuzi ninyi!!!!!!!!!!!!!

Hivi maoni haya wengi wameyasoma lakini? maana hawjielewi hawa watu. Hongera kwa maoni haya. Wakapige shule.
 
Back
Top Bottom