Makucha
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 258
- 34
Topical unasema MoU (serikali/dini) zivunjwe: Zikivunjwa madhehebu husika na waumini wao hawataathirika ila watahuzunika kuona ndugu, jirani na jamii kwa ujumla wasio waumini wao kukosa huduma kwa ambazo baadhi serikali imeelemewa. Huu ndio uwazi na ukweli. Tafakari.