Pedeshee kiraka
Member
- Jan 7, 2012
- 61
- 7
Wana jf. Mimi fikira zangu zinaakisi kwamba rasimu ya katiba bado ina ubikira, Katiba imekuwa na itikadi za kivyama mimi falsafa yangu naona hakuna chama ambacho kiko loyal kwenye suala la katiba.
haha haha! Hii kweli ni we dare to talk widely ! JF kiboko kweliWana jf. Mimi fikira zangu zinaakisi kwamba rasimu ya katiba bado ina ubikira, Katiba imekuwa na itikadi za kivyama mimi falsafa yangu naona hakuna chama ambacho kiko loyal kwenye suala la katiba.