Kati ya prof. Lipumba, James Mbatia na dk Slaa nani anafaa kupeperusha bendera ya UKAWA

Poll: Kati ya prof. Lipumba,James Mbatia na dk Slaa nani anafaa kupeperusha bendera ya UKAWA

  • Dr. Slaa

    Votes: 49 87.5%
  • Prof. Ibrahim Lipumba

    Votes: 6 10.7%
  • James Mbatia

    Votes: 1 1.8%
  • Emmanuel Makaidi

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    56
  • Poll closed .

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Tueleze facts bila bias viongozo hawa ndio wanaopigiwa chapuo kugombea kupitia UKAWA. Kwa kuzingatia sifa na weledi andika jina na sifa za mmoja unaemuona anafaa zaidi.
 
hembu tueleze facts bila bias viongz hawa wawili ndio wanaopigiwa chapuo kugombea kupitia ukawa. kwa kuzingatia sifa na weledi andika jina na sifa za mmoja unaemuona anafaa zaidi.
matusi hayaruhusiwi.

John Komba wa TOT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…