kati ya phamacy & clinical medicine

kati ya phamacy & clinical medicine

moses one

Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
10
Reaction score
2
wadau naomben msaada ....kwa diploma ya phamacy na clinical medigine ipi ni dili kwa miaka mitano au mbelen kwa ujumla........?
 
hakuna kozi ya afya kwa level ya diploma nzuri kuliko clinical medicine
 
clinical ni pana
Mkuu hivi hilo jibu lako Clinical ni Pana Mbona Huwa halikauki kwako afu Kwann usijibu swali unaishia kuuliza swali km huwezi acha wenye kujua wajibu!!! Sasa Clinical Ni Pana Ndio nn??
 
Kati ya hizo mbili bora clinical medicine .. Ila medical lab ni nzuri zaidi kama unampango wa kujiajili , kuajiliwa pia..
 
Kasome clinical dentistry

Mkuu avatar yako nimeielewa

Narud kwenye swali iko hv

Kwanza kabisa kwa ngazi ta diploma clinical medicine sio nzur kama umepanga ukitoka shule tu uajiriwe ie ukimaliza diploma

Kwa sababu kubwa now dayz hasa hospital kubwa iwe either private au govnment hawaajiri hawa clinical officers

Pharmacy na medical lab ndo habar ya mjin coz unaweza ukafanya kaz sehemu level yeyote ya hospital
 
Mkuu avatar yako nimeielewa

Narud kwenye swali iko hv

Kwanza kabisa kwa ngazi ta diploma clinical medicine sio nzur kama umepanga ukitoka shule tu uajiriwe ie ukimaliza diploma

Kwa sababu kubwa now dayz hasa hospital kubwa iwe either private au govnment hawaajiri hawa clinical officers

Pharmacy na medical lab ndo habar ya mjin coz unaweza ukafanya kaz sehemu level yeyote ya hospital

Mimi naona hospital nyingi hasa private wanapenda sana kuwaajiri maCO kwa sababu ni rahisi kumlipa CO kuliko MD
 
Kasome Clinical Medicine Kwa Mafanikio Bora na Ya Haraka Zaidi..
 
Mimi naona hospital nyingi hasa private wanapenda sana kuwaajiri maCO kwa sababu ni rahisi kumlipa CO kuliko MD

Kuna tofauti kubwa sana kati ya hospital na dispensaries mkuu.

Hakuna hospitali kubwa hasa dar es salaam ambayo imemwajiri CO hakuna na haitakaa iwepo

Co's wanaajiriwa huko kwenye dispensarie kwa sababu ya mtaji wa dispensary kuwa mdogo yaan wanamlipa kidogo

Nadhani tumeelewana
 
Back
Top Bottom