Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

Pia fahamu kuwa jimbo ni eneo la uchaguzi siyo utawala. Hivyo kata inaweza kuwa na jimbo zaidi ya moja. Kata ni sehemu ya utawala baada ya shaia/kitongoji, mtaa/kijiji. Hivyo jimbo na kata ni vitu viwili tofauti.
 
Pia fahamu kuwa jimbo ni eneo la uchaguzi siyo utawala. Hivyo kata inaweza kuwa na jimbo zaidi ya moja. Kata ni sehemu ya utawala baada ya shaia/kitongoji, mtaa/kijiji. Hivyo jimbo na kata ni vitu viwili tofauti.
Kwa hiyo kata siyo eneo la uchaguzi?
Nitajie kata yenye wabunge zaidi ya mmoja au majimbo zaidi ya moja, halafu nitajie jimbo lenye kata zaidi zaidi moja.
 
Endeleeni kujidanganya kama bakhresa unaandika baresa huwezi kuielelewa mbagara

Ushawahi kufika chamazi ???

Usiwe na akili za kubebwa bebwa na maneno ya watu
Mkuu hayo makosa ya kiuandishi ni Yako au Simu inazingua?
 
Mbagala ni bus stop center. Inaonekana baba lao sabab watu wote wanapenda kawe,makumbusho, mbezi au mawasiliano na Tabata kutoka toangoma,kisemvule na mbande wanakutania hapo.

Hii ndo inaifanya mbagala kuwa bigger than DSM, lakin pia centercity hii hata tegeta inayo. All in all hakuna eneo lenye accumulation kubwa ya watu dsm kama mbagala. Lakin pia ni wrong assumption kuona mbagala ni totally slums area.
 
mbagala ni habari ingine bro... ndio maana wanataka wilaya yao...

Kwa idadi ya watu mbagala iache tu kama ilivyo.

we ukipata muda kapite pite ujionee shazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…