kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Jambo ndugu zangu Kuna jambo ambalo linanitatiza Saana.
Mimi katika maisha yangu Nina ndoto ya kufunguwa restaurant nyingi katika Bara la Africa iyo ni ndoto yangu
But Kuna jambo ambalo linanitatiza Saana.
Nataka kufanya biashara lakini uku Chini Mwili wangu una itaji kuoa.
Sasa vijana wenzangu
Kipi Bora? Kati ya kufanya biashara kwanza Kabla ya kuoa au kuoa kwanza Kabla ya kufanya biashara ?
Mimi katika maisha yangu Nina ndoto ya kufunguwa restaurant nyingi katika Bara la Africa iyo ni ndoto yangu
But Kuna jambo ambalo linanitatiza Saana.
Nataka kufanya biashara lakini uku Chini Mwili wangu una itaji kuoa.
Sasa vijana wenzangu
Kipi Bora? Kati ya kufanya biashara kwanza Kabla ya kuoa au kuoa kwanza Kabla ya kufanya biashara ?