Kati ya askari na mwanafunzi

wa hapahapa

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
7,454
4,374
wana jf.
nimekuwa na hoja na mtizamo tofauti kuhusu suala usafiri kati ya mwanafunzi na mwanajeshi\askari.

mwanafunzi analipa nauli nusu endapo akiwa na kitambulisho au akiwa amevaa sare.

mwanajeshi/askari halipi nauli akiwa amevaa sare. na hulipa wakiwa hawajavaa sare.

je. huu utamaduni wa enzi za vita vya uganda. upo kisheria?.
je ni ubabe na udikteta wa jeshi/serikali?... je ni haki?

kwa mtizamo wangu, wanafunzi wapande bure pasipo kulipa nauli na wanajeshi walipe kama abiria wengne.

mwanafunzi hana
msharahara/kipato chochote analipa nauli lkn mwanajeshi halipi japo anakipato.... hii haipo sawa.

wanafunzi wakisafiri bure itasaidia familia maskini, na kuongeza maudhurio mashuleni...
 
Huu utaratibu wa askari kutolipa nauli akiwa katika sare uangaliwe upya
 
Mmh hilo nalo nelo! Sema usijesema hii kwenye mkutano wa hadhara! Maana utakuwa umepiga mzinga wa nyuki jiwe
 
Hebu kuwa na akili wewe mtu ambaye kifua chake na korodani zake ndizo ngao yake wakati wa vita ilhali tu yupo pale kwa ajili ya kukulinda wewe uishi kwa amani na utulivu mkubwa na familia yako na michepuko wako wewe unataka kuleta siasa



mtu huyu ni lazima apewe favor na motisha na moja ya motisha ni kama hivi kwenye masuala ya nauli kusamehewa na mambo mengine madogo madogo

wewe unataka kuleta siasa na vitu serious


nyie ndio wale wale mkishalewa matapu tapu na kunywa supu ya vichwa vya kuku mnaanza kukashifu vyombo vya ulinzi na usalama
MANIAC
 
wana jf.
nimekuwa na hoja na mtizamo tofauti kuhusu suala usafiri kati ya mwanafunzi na mwanajeshi\askari.

mwanafunzi analipa nauli nusu endapo akiwa na kitambulisho au akiwa amevaa sare.

mwanajeshi/askari halipi nauli akiwa amevaa sare. na hulipa wakiwa hawajavaa sare.

je. huu utamaduni wa enzi za vita vya uganda. upo kisheria?.
je ni ubabe na udikteta wa jeshi/serikali?... je ni haki?

kwa mtizamo wangu, wanafunzi wapande bure pasipo kulipa nauli na wanajeshi walipe kama abiria wengne.

mwanafunzi hana
msharahara/kipato chochote analipa nauli lkn mwanajeshi halipi japo anakipato.... hii haipo sawa.

wanafunzi wakisafiri bure itasaidia familia maskini, na kuongeza maudhurio mashuleni...
nadhani mkuu wa nchi atakusikia na kulifanya nyongeza ya jipu la kutumbua.
 
Hebu kuwa na akili wewe mtu ambaye kifua chake na korodani zake ndizo ngao yake wakati wa vita ilhali tu yupo pale kwa ajili ya kukulinda wewe uishi kwa amani na utulivu mkubwa na familia yako na michepuko wako wewe unataka kuleta siasa



mtu huyu ni lazima apewe favor na motisha na moja ya motisha ni kama hivi kwenye masuala ya nauli kusamehewa na mambo mengine madogo madogo

wewe unataka kuleta siasa na vitu serious


nyie ndio wale wale mkishalewa matapu tapu na kunywa supu ya vichwa vya kuku mnaanza kukashifu vyombo vya ulinzi na usalama
MANIAC

Hawajajua tuu mkuu umuhimu
Hebu kuwa na akili wewe mtu ambaye kifua chake na korodani zake ndizo ngao yake wakati wa vita ilhali tu yupo pale kwa ajili ya kukulinda wewe uishi kwa amani na utulivu mkubwa na familia yako na michepuko wako wewe unataka kuleta siasa



mtu huyu ni lazima apewe favor na motisha na moja ya motisha ni kama hivi kwenye masuala ya nauli kusamehewa na mambo mengine madogo madogo

wewe unataka kuleta siasa na vitu serious


nyie ndio wale wale mkishalewa matapu tapu na kunywa supu ya vichwa vya kuku mnaanza kukashifu vyombo vya ulinzi na usalama
MANIAC

Hawajajua tuu Mkuu, umuhimu wa hawa watu ni mkubwa sana wamejitoa maisha yao ili sisi tuendelee kuishi kwa amani. Serikali kama ya marekani wanatoa favor kwa mavetelani katika nafasi za kazi za kiserikali, wanahospital ambazo zinawahudumia bure au kwa bei nafuu na vitu kibao sasa huyu jamaa analalamika nauli haizidi hata 1000.
 
Hawajajua tuu mkuu umuhimu


Hawajajua tuu Mkuu, umuhimu wa hawa watu ni mkubwa sana wamejitoa maisha yao ili sisi tuendelee kuishi kwa amani. Serikali kama ya marekani wanatoa favor kwa mavetelani katika nafasi za kazi za kiserikali, wanahospital ambazo zinawahudumia bure au kwa bei nafuu na vitu kibao sasa huyu jamaa analalamika nauli haizidi hata 1000.


watu wakishakaa nyuma ya pc, laptops, smartphones wanakuwa na akili za ajabu sana
 
Hebu kuwa na akili wewe mtu ambaye kifua chake na korodani zake ndizo ngao yake wakati wa vita ilhali tu yupo pale kwa ajili ya kukulinda wewe uishi kwa amani na utulivu mkubwa na familia yako na michepuko wako wewe unataka kuleta siasa



mtu huyu ni lazima apewe favor na motisha na moja ya motisha ni kama hivi kwenye masuala ya nauli kusamehewa na mambo mengine madogo madogo

wewe unataka kuleta siasa na vitu serious


nyie ndio wale wale mkishalewa matapu tapu na kunywa supu ya vichwa vya kuku mnaanza kukashifu vyombo vya ulinzi na usalama
MANIAC


wapo wafanyakazi wengi muhimu kama madaktari kwaiyo na wao wapande bure kwakuwa wanaokoa maisha ya watu...

acha upendeleo kwa askari.
 
wapo wafanyakazi wengi muhimu kama madaktari kwaiyo na wao wapande bure kwakuwa wanaokoa maisha ya watu...

acha upendeleo kwa askari.

kama wewe sio Graduate sina tatizo na wewe najua ni level yako ya elimu na upeo mdogo ila kama ni GRADUATE na unatoa pumba kama hizi

hii BRN ime prove failure kwa kutoa mambumbumbu kama wewe

sasa RISK ya udaktari unaifananisha na ya UANAJESHI??



hivi unajua kwa mwaka ni ASKARI wangapi wanakufa duniani

kazi ya jeshi sio sawa na kazi zenu hizi za clearing and forwarding kijana
 
kama wewe sio Graduate sina tatizo na wewe najua ni level yako ya elimu na upeo mdogo ila kama ni GRADUATE na unatoa pumba kama hizi

hii BRN ime prove failure kwa kutoa mambumbumbu kama wewe

sasa RISK ya udaktari unaifananisha na ya UANAJESHI??



hivi unajua kwa mwaka ni ASKARI wangapi wanakufa duniani

kazi ya jeshi sio sawa na kazi zenu hizi za clearing and forwarding kijana
....

sasa RISK ya udaktari unaifananisha na ya UANAJESHI??



hivi unajua kwa mwaka ni ASKARI wangapi wanakufa duniani
....

kama kufa kila mmoja hatakufa...

C.T.U, na wasiwasi na iq yako.
maana mimi naangalia haki ya kulipa baada kupata huduma ya usafiri, ww unaleta majukumu ya kazi ya mwanajeshi...
 
Mi nadhani hoja iwe mwanafunzi hatakiwi kulipa nauli, na si askari anatakiwa aanze kulipa nauli au vip???
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom