Kati ya 2016-2020 Polepole alikuwa serikalini, haya yakitokea, yeye alikuwa wapi?

Kati ya 2016-2020 Polepole alikuwa serikalini, haya yakitokea, yeye alikuwa wapi?

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
308
Reaction score
424
Polepole anasema Tanzania haina uhuru wa habari, sheria hizi👇zilipitishwa yeye akiwa Mbunge na Katibu wa Itifaki na uenezi, na hakuwahi kusema kitu.

1. The Media Services Act (2016)
2. The Media Services Act (2016)
3. Statistics Act (2015)
4. Access to Information Act (2015)

Vyombo vya habari vilifungwa kati ya 2016-2021 na yeye hakusema kitu akiwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM na hakusema kitu.

1. Tanzania Daima
2. Mawio
3. Mseto
4. Uhuru
5. Radio Swahiba
6. Mwanahalisi

Polepole anazungumzia kuhusu uhuru wa habari, anasema hivi sasa Tanzania haina uhuru wa habari.

Wakati wa jiwe, Tanzania katika viwango vya uhuru wa habari kimataifa iliporomoka vibaya mno, katika namna ambayo haijawahi kutokea kwenye taifa letu.

Kwa mujibu wa 'Reporters without borders' Tanzania ilishuka kutoka nafasi ya 71 mwaka 2016, hadi 124 mwaka 2021 kati ya nchi 180.

Leo anazungumzia kufungiwa kwa Jamii Forums, Polepole ni kilaza. Sisemi kwamba kufungiwa kwa Jamii Forums ni sawa, bali Polepole hana moral authority ya kuzungumzia juu ya uhuru wa habari kwa sababu, wakati wa JPM Polepole alipitia misukosuko mingi sana, na bado hakuwahi kusema kitu.

Amesahau Kabendera aliteswa bila hatia kwa miezi 7 mfululizo kwa mashtaka ya kutengeneza, Polepole alikuwa wapi?

2020 pekee vyombo ya habari zaidi ya 10 vilipigwa faini na onyo kali.

Polepole ni mnafiki na haitaji kupewa muda kusikilizwa hata kidogo.
 
Ametubu na sasa wananchi wanamsikiliza
 
Polepole anasema Tanzania haina uhuru wa habari, sheria hizi👇zilipitishwa yeye akiwa Mbunge na Katibu wa Itifaki na uenezi, na hakuwahi kusema kitu.

1. The Media Services Act (2016)
2. The Media Services Act (2016)
3. Statistics Act (2015)
4. Access to Information Act (2015)

Vyombo vya habari vilifungwa kati ya 2016-2021 na yeye hakusema kitu akiwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM na hakusema kitu.

1. Tanzania Daima
2. Mawio
3. Mseto
4. Uhuru
5. Radio Swahiba
6. Mwanahalisi

Polepole anazungumzia kuhusu uhuru wa habari, anasema hivi sasa Tanzania haina uhuru wa habari.

Wakati wa jiwe, Tanzania katika viwango vya uhuru wa habari kimataifa iliporomoka vibaya mno, katika namna ambayo haijawahi kutokea kwenye taifa letu.

Kwa mujibu wa 'Reporters without borders' Tanzania ilishuka kutoka nafasi ya 71 mwaka 2016, hadi 124 mwaka 2021 kati ya nchi 180.

Leo anazungumzia kufungiwa kwa Jamii Forums, Polepole ni kilaza. Sisemi kwamba kufungiwa kwa Jamii Forums ni sawa, bali Polepole hana moral authority ya kuzungumzia juu ya uhuru wa habari kwa sababu, wakati wa JPM Polepole alipitia misukosuko mingi sana, na bado hakuwahi kusema kitu.

Amesahau Kabendera aliteswa bila hatia kwa miezi 7 mfululizo kwa mashtaka ya kutengeneza, Polepole alikuwa wapi?

2020 pekee vyombo ya habari zaidi ya 10 vilipigwa faini na onyo kali.

Polepole ni mnafiki na haitaji kupewa muda kusikilizwa hata kidogo.


Kabla ya kujibu hoja yako, Kwanza wambie tcra watufungulie jf

Otherwise mawazo na hoja zako peleka TBC
 
Polepole anasema Tanzania haina uhuru wa habari, sheria hizi👇zilipitishwa yeye akiwa Mbunge na Katibu wa Itifaki na uenezi, na hakuwahi kusema kitu.

1. The Media Services Act (2016)
2. The Media Services Act (2016)
3. Statistics Act (2015)
4. Access to Information Act (2015)

Vyombo vya habari vilifungwa kati ya 2016-2021 na yeye hakusema kitu akiwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM na hakusema kitu.

1. Tanzania Daima
2. Mawio
3. Mseto
4. Uhuru
5. Radio Swahiba
6. Mwanahalisi

Polepole anazungumzia kuhusu uhuru wa habari, anasema hivi sasa Tanzania haina uhuru wa habari.

Wakati wa jiwe, Tanzania katika viwango vya uhuru wa habari kimataifa iliporomoka vibaya mno, katika namna ambayo haijawahi kutokea kwenye taifa letu.

Kwa mujibu wa 'Reporters without borders' Tanzania ilishuka kutoka nafasi ya 71 mwaka 2016, hadi 124 mwaka 2021 kati ya nchi 180.

Leo anazungumzia kufungiwa kwa Jamii Forums, Polepole ni kilaza. Sisemi kwamba kufungiwa kwa Jamii Forums ni sawa, bali Polepole hana moral authority ya kuzungumzia juu ya uhuru wa habari kwa sababu, wakati wa JPM Polepole alipitia misukosuko mingi sana, na bado hakuwahi kusema kitu.

Amesahau Kabendera aliteswa bila hatia kwa miezi 7 mfululizo kwa mashtaka ya kutengeneza, Polepole alikuwa wapi?

2020 pekee vyombo ya habari zaidi ya 10 vilipigwa faini na onyo kali.

Polepole ni mnafiki na haitaji kupewa muda kusikilizwa hata kidogo.
Polepole ni oppurtunist.
Ni wale waliomao madarakani, wakitoka huko kwenye madaraka ndio wanaona vitanzi walivyojiwekea.
(Bila VPN)
 
Sawa tu. Ipo siku Bashite, Sabaya watakuja kwenu kutubu. Hakikisheni mnawasamehe pia bila kusema maovu waliyotenda
Mbele za Mungu zipo toba zilizokubaliwa na zipo hazikubaliwa, sio kila dhambi inasamehewa na Mungu.
 
Back
Top Bottom