Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,188
- 8,215
Hivi Rais, Mbunge na Baraza la Madiwani mnataka mtuambie katika kura zenu za ushindi hamkupata kura toka kata ya Tungi? Mateso haya mnayotupa kisa tu Diwani wa huku ni wa CHADEMA tutayalipa.
Kwanza mlitudhulumu barabara ya lami mkaipeleka KOLA MAKABURINI; yaani mliona wafu wana thamani zaidi kuliko sisi. Wakati huu mmechonga barabara kata zote kasoro Tungi pekee
NAWAAMBIA TUTALIPA
Kwanza mlitudhulumu barabara ya lami mkaipeleka KOLA MAKABURINI; yaani mliona wafu wana thamani zaidi kuliko sisi. Wakati huu mmechonga barabara kata zote kasoro Tungi pekee
NAWAAMBIA TUTALIPA