love is blind..
lovers have eyes..
Habari zenu wapendwa,
Jioni hii wakati narudi nyumbani nikiwa kwenye foleni ndani ya kibito changu mdogo mdogo from Posta town city to home daaah!!
Tulikutana udo kwa uso na kijana aliyekuwa akiendesha nissan patrol namba T...AQN mweehh!! Ilikuwa akinitazama gari zikisogea nami namtazama ukawa ndo kamchezo.
Baada ya kupita mataa ya maktaba tukapotezana nyomi lilikuwa kali balaa hee kuja kustuka maeneo ya DSTV pale karibu na st. Peters kijana huyu hapa akanitupia jicho nami nikamtizama hahahhaaaa!! Gari zikasogea mdogo mdogo akanipungia mkono nikabaki whaaaooo!! Nikafreez sikuweka ku wave back so sad we were parting baada ya kufika mbuyuni yeye akaelekea namanga mie nikanyoosha to morocco. Ila baada ya kumpita akisubiria jukata namanga nilimpungia sjui kama aliona.....
Guy ur wave left a smile on my face and double heart beats on my heart till I realise that am in crash with u nissan guy.
So sad hatufahamiani hata majina but I enjoy ur looking, good night!!
Ila usingizi hauji sasa.......!!!! daah!!
Una crash yangu humu jf.
mimi?... i dont remember amu!
nikumbushe tafadhali!
Division 5 inakuhusu
Habari zenu wapendwa,
Jioni hii wakati narudi nyumbani nikiwa kwenye foleni ndani ya kibito changu mdogo mdogo from Posta town city to home daaah!!
Tulikutana udo kwa uso na kijana aliyekuwa akiendesha nissan patrol namba T...AQN mweehh!! Ilikuwa akinitazama gari zikisogea nami namtazama ukawa ndo kamchezo.
Baada ya kupita mataa ya maktaba tukapotezana nyomi lilikuwa kali balaa hee kuja kustuka maeneo ya DSTV pale karibu na st. Peters kijana huyu hapa akanitupia jicho nami nikamtizama hahahhaaaa!! Gari zikasogea mdogo mdogo akanipungia mkono nikabaki whaaaooo!! Nikafreez sikuweka ku wave back so sad we were parting baada ya kufika mbuyuni yeye akaelekea namanga mie nikanyoosha to morocco. Ila baada ya kumpita akisubiria jukata namanga nilimpungia sjui kama aliona.....
Guy ur wave left a smile on my face and double heart beats on my heart till I realise that am in crash with u nissan guy.
So sad hatufahamiani hata majina but I enjoy ur looking, good night!!
Ila usingizi hauji sasa.......!!!! daah!!
Habari zenu wapendwa,
Jioni hii wakati narudi nyumbani nikiwa kwenye foleni ndani ya kibito changu mdogo mdogo from Posta town city to home daaah!!
Tulikutana udo kwa uso na kijana aliyekuwa akiendesha nissan patrol namba T...AQN mweehh!! Ilikuwa akinitazama gari zikisogea nami namtazama ukawa ndo kamchezo.
Baada ya kupita mataa ya maktaba tukapotezana nyomi lilikuwa kali balaa hee kuja kustuka maeneo ya DSTV pale karibu na st. Peters kijana huyu hapa akanitupia jicho nami nikamtizama hahahhaaaa!! Gari zikasogea mdogo mdogo akanipungia mkono nikabaki whaaaooo!! Nikafreez sikuweka ku wave back so sad we were parting baada ya kufika mbuyuni yeye akaelekea namanga mie nikanyoosha to morocco. Ila baada ya kumpita akisubiria jukata namanga nilimpungia sjui kama aliona.....
Guy ur wave left a smile on my face and double heart beats on my heart till I realise that am in crash with u nissan guy.
So sad hatufahamiani hata majina but I enjoy ur looking, good night!!
Ila usingizi hauji sasa.......!!!! daah!!
Dah pole itakutesa hiyo, inabidi upotezee tu.
Mimi kuna mtu humu nimemzimia naogopa kum pm. Huku haji basi tabu tupu hahahaaa. Bora hata angekuwa anatembelea chitchat na MMU.
Please mume wangu usisome honey natania tu.