Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,460
Kasie:Ndo nani huyoo?
Kasie:Ndo nani huyoo?
Hahahahhahaaa don't tell me, I didn't knew Kasie ndo mkali wa mji..... ila usisababishe nikapaliwa mikaa na wenye mji wao.... hehehehehe
Thanks by the way.

Hey, what's goin' on?Hahahahaaa hapana sio hilo Nganashe, jamani kwani huyu masai kirungu yuko wapi mbona hafiki? Haya ngoja niwaache na lugha yenu nisije tukana buree hehehehee.

Hey, what's goin' on?
It might be Leiguanan![]()
Hahahahahhahahaaa at last looh
What's on here is vacay....
Yeah hapo hapo umepatia ndo hilohilo Leiguanan sijui kwanini hili jina huwa nalikoseaga kulitamka. .... hehehehehehee nakumbuka lilikuwa na g katikati ngoja nimuite ndugu yo Azarel aje alone maana yet alibashiri maneno kadha wa kadha ila nikamkatalia kuwa si hayo.
Haya habariiiinyoooo baba yeyoooo ....
Takwinyaa. .... 😉
All the positive energy feed the cancerKula maisha dadangu, we only live once thats the anthem

Hahahahhahaaa don't tell me, I didn't knew Kasie ndo mkali wa mji..... ila usisababishe nikapaliwa mikaa na wenye mji wao.... hehehehehe
Thanks by the way.
Tehteh... habari ni nzuri aseeh.
That's cool....and real fukcing ace*.
Tehteh... habari ni nzuri aseeh.
That's cool....and real fukcing ace*.
Wewe nikaribishe tu mengine niachie mimi, inzi kufia kwenye kidonda ni kawaidaHahahahaaa weeeh unatafuta uhasama wewee vita yake utaiweza. ...... shauri yako mie simooo anakusoma hapa hehehee.
Dadii mkubwa anapewa kila wakubwa....
Usijari nitatumia hekima busara na kunyenyekeaHahahahaaa ndo mambo ya kibaka kuomba lifti kwenye difenda sio hehehehheeh he
Kasie mtata ujue.
We kasie unayoongea hufananii na muonekano wako
We c mtu mzima kabisa