Kasi ya CCM haizuiliki


Gari bovu lililopotea kasi inakuwa haina maana!#HapaGizaTu
 
mi mwenyewe ccm lakini nimeshamkubali lowasa anayempinga lowasa labda ni kichaa au kahongwa pombe mmmh lowasa chaguo la wengi lowasa umeniroga jamani mpaka nimehama ccm lowasa vichaa km hawa ndo uje uwape elimu tumechoka fiesta jamani
 
mi mwenyewe ccm lakini nimeshamkubali lowasa anayempinga lowasa labda ni kichaa au kahongwa pombe mmmh lowasa chaguo la wengi lowasa umeniroga jamani mpaka nimehama ccm lowasa vichaa km hawa ndo uje uwape elimu tumechoka fiesta jamani

Mi mwenyewe ukawa lakini nimeshamkubali magufuli na anayempinga magufuli labda ni kichaa au kahongwa pombe,mmmh magufuli chaguo la wengi,magufuli umeniroga jaman mpaka nimehama ukawa magufuli vichaa hawa ndo uje uwape elimu tumechoka na mafuriko feki jaman
 
Hahahahah Magufuli bila wasanii hasikilizwi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…