Kashfa za Mkurugenzi Muhimbili

iwe isiwe kuna tatizo ccm. mbona kila anaeteuliwa ni mzigo ? ukianzia mawaziri kina wasira hadi wakuu wa mikoa hadi makabuti wakuu hadi wakuu wa wilaya hadi wakurugenzi. nipe watano tu walio safi nikurushie vocha sasa hhivi
siasa we endelea nayo tu, hiyo vocha watumie wenye kutaka

Mie nabaki na mada kwamba mfumo mzima wa utendaji Tanzania ni mbovu

na wapinzani wamecopy hayohayo ndio maana issues ndogo tu lazma ziamuliwe kwa vurugu, mifarakano na vitisho
 
huyo mama ana tengenezewa zengwe tu.....kwanza kafanya makubwa kuliko mkurugenzi yoyote walitangulia, ni wivu tu.nipashe waseng..... sana wanatumiwa kumchafua mkurugenzi
 
huyo mama ana tengenezewa zengwe tu.....kwanza kafanya makubwa kuliko mkurugenzi yoyote walitangulia, ni wivu tu.nipashe waseng..... sana wanatumiwa kumchafua mkurugenzi

Kwa faida ya wana JF ungeweka hapa record ya mafanikio yake. Itasaidia sana
 
Hawa waandishi wana matatizo gani?
Bilioni 12 na hivyo viposho visivyozidi hata milioni ishirini kuna uhusiano gani?

Inaonekana gazeti linatumiwa kumchafua .....
 
What is your problem..!?
 
Kwani yeye Njelekela ana tofauti gani na wabadhirifu wengine wa serikali yetu? Mnashangaa kitu gani. Ndiyo mfumo wao. Dawa ni kuindoa serikali dhaifu na legelege madarakani ije iliyo imara. Kula mama as if hakuna kesho. Mbona wenzio pamoja na malalamiko ya EPA but ipo Ecrow ya bil 200.
 
Kwa faida ya wana JF ungeweka hapa record ya mafanikio yake. Itasaidia sana

mfano mmja hyo mama ameiondoa bank ya nmb kwenye compound ya muhimbili kitu ambacho wakurugenzi wa nyuma walishindwa....tangia sarungi waziri wa afya.sababu ya kuiondoa nmb hapo ilitakiwa muda maana
kulikuws na longolongo....mama yeye kafanya kweli..uliziazaidi utajua
 
Hawa waandishi wana matatizo gani?
Bilioni 12 na hivyo viposho visivyozidi hata milioni ishirini kuna uhusiano gani?

Inaonekana gazeti linatumiwa kumchafua .....
nipashe wsnatumiwa sana siku hizi kutoa habari feki
 
Jamani kweli naamini mawaziri mizigo hata malalamiko hawasikii!! Do Tanzania ni zaidi unvyoijua
 
Ccm nayo inalazimisha uongozi badala yakupambana na kero unapambana na Ukawa ngoja tuone..
 

Hilo nalo ni la kujivunia kweli? Linahusiana vipi na huduma za Afya au maendeleo ya mgonjwa hospitalini hapo?
 
Hilo nalo ni la kujivunia kweli? Linahusiana vipi na huduma za Afya au maendeleo ya mgonjwa hospitalini hapo?

ukweli ni kwamba anatengenezewa zengwe tu, hata hivyo muhimbili kidogo kuna afadhali ndiyo kasoro zipo.ila kuna mabadiliko makubwa kafanya mkurugenzi huyu
 
mgoni huyo anashusha bonge la ghorofa mbz sasa asile ili iweje nani akule
 
Huu mfano haujakaa sawa... issue ilikuwa nini kuhusu NMB.

She has been hard working during MEWATA campaigns hatukusikia ufisadi, may be kaiga. Ingawa story imekaa kimajungu.
 
Ndgu mie kwa vitendea kazi cna pingamizi lolote kuhusu kw nn visinunuiwe na kwa nn wizara siingizwe kweye brn ili kubresha afya na hakuna maendeleo pasipo uhakika wa afya bora na imara?

Ila kuhusu gari tusimwonee mama wa wtu bure coz hlo ni mali ya mnh akistaafu leo cio mali yake itabaki kuwa ya mhmbili na bajeti likuwepo na idara zliipitiha bila shaka na kuku walikula , tenda bodi lipitia specification, wazabuni walishindanshwa na bila shaka toyota ndo aliweka ghrama hyo ndogo na akapewa zabni. Swali sasa hapa marina ana kosa lipi? Kumbukeni magari haya kila taasisi yamejaa dar tuache majungu wakuu!



 
muhimbili inajitegemea kwa asilimia kubwa na mdio maana hata ajira zake unaomba direct pale
 
Mwacheni huyu mama apumue aisee! FastJet kila uchao iko angani hata kwa safari ambazo zingefanywa na maafisa Wa ngazi ya chini kwenye wizara mbona hamjapiga kelele? Nasikia harufu ya mfumo dume hapa! Muhongo na Werema wamepiga mabilioni ya kutosha mmenyamaza, mwacheni Dr. Marina naye ale kwa urefu Wa kamba yake!!!

Mama nampendaga huyo! Alivyotulia sasa!! Mama yuko vizuri!
 

Mkuu, nadhani wakuu amkawewe na chakii wanamaanisha record ya kiutendaji hasa afya, pili NMB office ilikuwa katika compound ya chuo na si Hospitali.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…